Kwenye safari yoyote ya mafanikio, sio lazima wote muanzie sehemu moja. Wengine wataanza chini kabisa, wengine wataanza juu, chamsingi Ni kufika unakoelekea.Huyu msanii Kuna stage ameziruka atakuja kuzipitia baadae na majuto kibao wanaomsimamia wanamtengenezea bomu mbeleni
Mambo yangekuwa hivyo, Mind angekuwa kachuja zamani tu.Kwenye maisha kila kitu kina stage na hatua sasa Kama ana kasi hivi akifika mwaka si kashachuja tayari
Hii sasa ndo tunaitaga 'roho ya uchawi'
Mzee baba umeanza kumjua Zuchu baada ya kutambulishwa rasmi na lebo yake na kuanza kuachiwa kwa nyimbo zake
Wala haujui ni kwa muda gani uyo Zuchu alikua anaandaliwa na kupikwa ipasavyo kabla hajawa released
Mkiambiwa WCB msanii anapikwa kwa zaidi ya mwaka mzima mnaona kama vile anaonewa na kucheleweshwa kutoa kazi zake, hayo sasa ndo matokeo ya kuandaliwa ipasavyo,ukapikika na ukaiva vilivyo!
Ondoa fikra potofu kama za mzazi mwenye uwezo mzuri tu wa kifedha na maisha safi,halafu mtoto wake anamsomesha kwenye shule za hali duni (kayumba) na kumpa maisha magumu,eti kisa tu kwakua uyo mzazi nayeye alipitia maisha hayo hayo magumu kabla ya kuwa na maisha mazuri.
Acha uchawi!!!
Mada ni zuchu sio mondiMambo yangekuwa hivyo, Mind angekuwa kachuja zamani tu.
Kuna kijana anaitwa fireboy dml je nayeye atachuja?Kwenye maisha kila kitu kina stage na hatua sasa Kama ana kasi hivi akifika mwaka si kashachuja tayari
Mkuu vanesa umeenda mbali sana ungeanza na nandi au ruby Vanessa was international artistZuchu anaweza kufika mbali hilo lipo wazi maana huwezi kusema hana talent kabisaaa, itakuwa ni uongo
ila kikubwa wanaombrand wapo vizuri maana wamemjengea picha ya kumuonesha kama binti anaejielewa na humble sana na hivyo kuwa rahisi kupendwa na watu.
Pia wamemuweka karibu na lady jay dee na si kwa bahati mbaya ili aonekane the NEXT queen, kuwa WCB na mtoto wa Khadija ni advantage kubwaa sana pia..
Nakubali jitihada zao na kila kitu ila tu kutaka kumuweka zuchu kwenye Level kubwa mnoo utakuwa ni uongo kwa sasa.
She is not there yet, bado hajafikia hata kiwango cha Vanessa alipokuwa new artist. Yupo basic na hata ikitokea mbeleni akafanikiwa haitokuwa kitu kipya kama Gigy alivyotoa hit song ya papa
Papa ilikuwa hit song..... So twaweza sema gigy ni msanii mkubwa.Zuchu anaweza kufika mbali hilo lipo wazi maana huwezi kusema hana talent kabisaaa, itakuwa ni uongo
ila kikubwa wanaombrand wapo vizuri maana wamemjengea picha ya kumuonesha kama binti anaejielewa na humble sana na hivyo kuwa rahisi kupendwa na watu.
Pia wamemuweka karibu na lady jay dee na si kwa bahati mbaya ili aonekane the NEXT queen, kuwa WCB na mtoto wa Khadija ni advantage kubwaa sana pia..
Nakubali jitihada zao na kila kitu ila tu kutaka kumuweka zuchu kwenye Level kubwa mnoo utakuwa ni uongo kwa sasa.
She is not there yet, bado hajafikia hata kiwango cha Vanessa alipokuwa new artist. Yupo basic na hata ikitokea mbeleni akafanikiwa haitokuwa kitu kipya kama Gigy alivyotoa hit song ya papa
Mnatoka nje ya mada tatizo tuongelee suala la zuchu na mazingira ya wasanii wetu wa Tanzania achana na wa Nigeria hao soko lao tofauti na letu kwenye musicKuna kijana anaitwa fireboy dml je nayeye atachuja?
We umeongelea kukua kwa Kasi kwa muda mfupi ndio maana nikakuulizaMnatoka nje ya mada tatizo tuongelee suala la zuchu na mazingira ya wasanii wetu wa Tanzania achana na wa Nigeria hao soko lao tofauti na letu kwenye music
Kila binadamu na njia yake ya mafanikio, usiforce ulinganifu.Mada ni zuchu sio mondi
Kwani mondi alichukua mda gani kupata nomination kwenye awards na kuchukua kabisa?
hivyoo kama gigy aliweza fanikiwa kutengeneza hit song ndio iwe kazi kwa mtu kama Zuchu kufanikiwa katika hii industryPapa ilikuwa hit song..... So twaweza sema gigy ni msanii mkubwa.
hahaaa kuna die hard fans wa WCB watakumaliza mkuuMkuu vanesa umeenda mbali sana ungeanza na nandi au ruby Vanessa was international artist
Sio lazima wote tumpende bro, kama wewe hujauona wimbo wake mkali basi sawa ila nyimbo zake zimekuwa streamed mara millioni 4 boomplay akiwaacha mbali wasanii wengi wakongwe kama Alikiba, mimi mara,mario,n.kHivi wimbo mkali wa zuchu ni upi?
Mi sio msanii siwezi kuzipitia mwisho wanaishia pabaya hao 6 month msanii kashakuwa female artist
Kila kitu ni kazi ya wasafi kawatolea wapi hao followers?Binti hana hata miezi sita.. kaanza kuwekwa matuzo ya africa.. huku kina ruby wana miaka na miaka hawawekwi... binti mitandaoni ma subscriber na ma followers kibao wakati katoka juzi juzi tu