Zuchu achaguliwa tuzo ya Afrimma

Zuchu achaguliwa tuzo ya Afrimma

Unajua huwa kuna gold-plated Bars na Pure gold bar. Haya makitu huwa yanatofautiana thamani.

Huyu binti nimeshaona watu wengi wanalalamikia sana kutoka kwake.

Mwanzo nilihisi kuwa ni chuki tu za haters ila as it goes naanza hata mimi kunotice kuwa she is being overrated na anakuwa anabebwa na promo za kimtandao bila kuproove uwezo kwa utunzi na kuimba kazi nyingi.
 
Hii sasa ndo tunaitaga 'roho ya uchawi'

Mzee baba umeanza kumjua Zuchu baada ya kutambulishwa rasmi na lebo yake na kuanza kuachiwa kwa nyimbo zake

Wala haujui ni kwa muda gani uyo Zuchu alikua anaandaliwa na kupikwa ipasavyo kabla hajawa released

Mkiambiwa WCB msanii anapikwa kwa zaidi ya mwaka mzima mnaona kama vile anaonewa na kucheleweshwa kutoa kazi zake, hayo sasa ndo matokeo ya kuandaliwa ipasavyo,ukapikika na ukaiva vilivyo!

Ondoa fikra potofu kama za mzazi mwenye uwezo mzuri tu wa kifedha na maisha safi,halafu mtoto wake anamsomesha kwenye shule za hali duni (kayumba) na kumpa maisha magumu,eti kisa tu kwakua uyo mzazi nayeye alipitia maisha hayo hayo magumu kabla ya kuwa na maisha mazuri.

Acha uchawi!!!

Zuchu anaweza kufika mbali hilo lipo wazi maana huwezi kusema hana talent kabisaaa, itakuwa ni uongo

ila kikubwa wanaombrand wapo vizuri maana wamemjengea picha ya kumuonesha kama binti anaejielewa na humble sana na hivyo kuwa rahisi kupendwa na watu.

Pia wamemuweka karibu na lady jay dee na si kwa bahati mbaya ili aonekane the NEXT queen, kuwa WCB na mtoto wa Khadija ni advantage kubwaa sana pia..

Nakubali jitihada zao na kila kitu ila tu kutaka kumuweka zuchu kwenye Level kubwa mnoo utakuwa ni uongo kwa sasa.

She is not there yet, bado hajafikia hata kiwango cha Vanessa alipokuwa new artist. Yupo basic na hata ikitokea mbeleni akafanikiwa haitokuwa kitu kipya kama Gigy alivyotoa hit song ya papa
 
Zuchu anaweza kufika mbali hilo lipo wazi maana huwezi kusema hana talent kabisaaa, itakuwa ni uongo

ila kikubwa wanaombrand wapo vizuri maana wamemjengea picha ya kumuonesha kama binti anaejielewa na humble sana na hivyo kuwa rahisi kupendwa na watu.

Pia wamemuweka karibu na lady jay dee na si kwa bahati mbaya ili aonekane the NEXT queen, kuwa WCB na mtoto wa Khadija ni advantage kubwaa sana pia..

Nakubali jitihada zao na kila kitu ila tu kutaka kumuweka zuchu kwenye Level kubwa mnoo utakuwa ni uongo kwa sasa.

She is not there yet, bado hajafikia hata kiwango cha Vanessa alipokuwa new artist. Yupo basic na hata ikitokea mbeleni akafanikiwa haitokuwa kitu kipya kama Gigy alivyotoa hit song ya papa
Mkuu vanesa umeenda mbali sana ungeanza na nandi au ruby Vanessa was international artist
 
Zuchu anaweza kufika mbali hilo lipo wazi maana huwezi kusema hana talent kabisaaa, itakuwa ni uongo

ila kikubwa wanaombrand wapo vizuri maana wamemjengea picha ya kumuonesha kama binti anaejielewa na humble sana na hivyo kuwa rahisi kupendwa na watu.

Pia wamemuweka karibu na lady jay dee na si kwa bahati mbaya ili aonekane the NEXT queen, kuwa WCB na mtoto wa Khadija ni advantage kubwaa sana pia..

Nakubali jitihada zao na kila kitu ila tu kutaka kumuweka zuchu kwenye Level kubwa mnoo utakuwa ni uongo kwa sasa.

She is not there yet, bado hajafikia hata kiwango cha Vanessa alipokuwa new artist. Yupo basic na hata ikitokea mbeleni akafanikiwa haitokuwa kitu kipya kama Gigy alivyotoa hit song ya papa
Papa ilikuwa hit song..... So twaweza sema gigy ni msanii mkubwa.
 
Kuna kijana anaitwa fireboy dml je nayeye atachuja?
Mnatoka nje ya mada tatizo tuongelee suala la zuchu na mazingira ya wasanii wetu wa Tanzania achana na wa Nigeria hao soko lao tofauti na letu kwenye music
 
Mnatoka nje ya mada tatizo tuongelee suala la zuchu na mazingira ya wasanii wetu wa Tanzania achana na wa Nigeria hao soko lao tofauti na letu kwenye music
We umeongelea kukua kwa Kasi kwa muda mfupi ndio maana nikakuuliza
 
Papa ilikuwa hit song..... So twaweza sema gigy ni msanii mkubwa.
hivyoo kama gigy aliweza fanikiwa kutengeneza hit song ndio iwe kazi kwa mtu kama Zuchu kufanikiwa katika hii industry

Kama Diamond aliweza mtoa mtu kama Harmo ambaye ni less talented kuliko Zuchu.. kutakuwa na ugumu gani kwake kumpush huyu manzi
 
Hivi wimbo mkali wa zuchu ni upi?
Sio lazima wote tumpende bro, kama wewe hujauona wimbo wake mkali basi sawa ila nyimbo zake zimekuwa streamed mara millioni 4 boomplay akiwaacha mbali wasanii wengi wakongwe kama Alikiba, mimi mara,mario,n.k
9a8548b4a3234747dbb15607ad869e0a.jpg


Na apple music wanamjua
b9892223a992cf3ed3616867b35a8b73.jpg


Hawa afrimma wamekosea wapi??? mlitaka wamuweka nani???
3e98123b4767ba952e383230af76adff.jpg
09c566c438ef2f05a5ec5825c6f2dc44.jpg


Sio lazima wote tumpende ila umati ndio utakao amua na umati wenyewe ndio huo kwenye social media.
Kutoka boomplay, YouTube,apple music na platforms nyingine inaonesha kwamba yeye ni miongoni mwa wasanii wanaotazamwa sana Afrika mashariki.
 
mkuu japo uzi wako ulimkusudia zuchu bt kwa chini ungemalizia kuwamention wasanii wengine wanaowania tuzo hizo
 
mkuu japo uzi wako ulimkusudia zuchu bt kwa chini ungemalizia kuwamention wasanii wengine wanaowania tuzo hizo
 
Mi sio msanii siwezi kuzipitia mwisho wanaishia pabaya hao 6 month msanii kashakuwa female artist

Iko hivyo msanii akihit kiujanja ujanja anguko lake linakuwaga baya sana, huyu ilibidi kazi zake ndo zimfikishe hapo na si vinginevyo
 
Binti hana hata miezi sita.. kaanza kuwekwa matuzo ya africa.. huku kina ruby wana miaka na miaka hawawekwi... binti mitandaoni ma subscriber na ma followers kibao wakati katoka juzi juzi tu
Kila kitu ni kazi ya wasafi kawatolea wapi hao followers?
Mbona kabla ya wasafi hatukumskia kwengine ama alikuwa hajaanza muziki?

Acha kumfananisha na ruby
 
Hizi tuzo za wale manaija conmens.
Ndo nazo tuzo ?
Hata nedy music anayo hii tuzo uyo zocho ndo mnaona ajabu kuwa nominated?
 
Back
Top Bottom