zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Tz tungekuwa na sisi na Tuzo zetu matuzo hayo wanachagua wa kushinda hawafatili kura ni wanaija wana roho mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale ni waongo tunzo wanachagua mshindi mwaka jana Diamond alikuwa kwenye category sijui nne ila zote akakosa na wakati ndo alikuwa banging na InamaTunzo ni sehemu ya mkakati wa kibiashara, na wanaomsimamia wako makini kwa hilo.
Kwa hapa ndani inaweza isiwe na nguvu lakini kwa nje ni sifa kubwa. Itaanza kumlipa kwa endorsements atakazopata, na connection za kikazi nyingi zaidi.
Unaweza kuzitaja...? Na je Kama zisipotokea...?Huyu msanii Kuna stage ameziruka atakuja kuzipitia baadae na majuto kibao wanaomsimamia wanamtengenezea bomu mbeleni
Toa utopoloWachache watakuelewa! Expectations vs. Reality!
Kwani kunamsanii mkubwa ambae hakiki...?Afrima hazijawahi kuwa tuzo zenye hadhi. Ni tuzo za kitapeli tu zenye madhumuni ya kibiashara zilizoanzishwa na wanaijeria.
Ndio maana wao nominees wanaangalia nani anakiki instagram.
Huo uhadhi wanauweka wabongo kwaajili ya kujivimbisha ili waonekane wako juu.
Mbona harmonize ndo anaongoza kwa kukiki Instagram na hajawekwa category nyingi...?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Afrima hazijawahi kuwa tuzo zenye hadhi. Ni tuzo za kitapeli tu zenye madhumuni ya kibiashara zilizoanzishwa na wanaijeria.
Ndio maana wao nominees wanaangalia nani anakiki instagram.
Huo uhadhi wanauweka wabongo kwaajili ya kujivimbisha ili waonekane wako juu.
Mbona umeshamtaja jina ndiyo ZUCHU[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Zuchu ndiyo nani?
Na hasipo chuja...? Unakumbuka harmonize/rayvanny kipindi wanatoka(harmonize AFRIMMA& rayvanny BET),je wamepotea...? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwenye maisha kila kitu kina stage na hatua sasa Kama ana kasi hivi akifika mwaka si kashachuja tayari
Unataka kuproveje...? Wakati chatz, stream kazikamataUnajua huwa kuna gold-plated Bars na Pure gold bar. Haya makitu huwa yanatofautiana thamani.
Huyu binti nimeshaona watu wengi wanalalamikia sana kutoka kwake.
Mwanzo nilihisi kuwa ni chuki tu za haters ila as it goes naanza hata mimi kunotice kuwa she is being overrated na anakuwa anabebwa na promo za kimtandao bila kuproove uwezo kwa utunzi na kuimba kazi nyingi.
Zote[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi wimbo mkali wa zuchu ni upi?
Kwani amefikishwa na Nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Iko hivyo msanii akihit kiujanja ujanja anguko lake linakuwaga baya sana, huyu ilibidi kazi zake ndo zimfikishe hapo na si vinginevyo
Na je, Mandy anakipaji kuliko Ruby...? Jibu ni hapana that's why nandy ni hot kuliko Ruby unajua why...?, Basi tulia ZUCHU akiwasheKwa hapa tumeenda sawa hao wamekosa management
Lakini je unapinga kwamba zuchu ana kipaji kuliko ruby?
Management yenye ndo itapush mziki wako na kipaji chako kidogo
Acha utoto kili za kijinga[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hiz tuzo zimeshuka hadhi namna hii hata Bora zile za kili awards
Hatusemi show , tunaongelea kuwa na convincing power why nandy /zuchu/maua sama na sio Ruby...?Umeanza pumba hivi show zake ruby unaziangaliag kweli?
Na ndio maana ya label kubwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Zuchu yupo pale alipo sababu ya WCB tu... Kama angepita walipopita kina rubby bado safari yake ingekuwa ndefu sana
Fact hawajui MBELE Wala nyumamashabiki wa ruby ni kama wa tamaduni music tu
Uwe unasoma na kuelewa kabla ya ku reply..Kwani ruby Ni jirani yako ndio ukamjua?
Hizi ndo za kijinga ZaidAcha utoto kili za kijinga
ChawaSasa wewe ulitakaje?