Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
- Thread starter
- #21
sawa but yajayo kwa nandy yanafurahisha [emoji23][emoji23][emoji23]We subiri muda utaongea wenyewe,ndo kwanza nyimbo zenyewe hazijavuka hata mwezi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa but yajayo kwa nandy yanafurahisha [emoji23][emoji23][emoji23]We subiri muda utaongea wenyewe,ndo kwanza nyimbo zenyewe hazijavuka hata mwezi.
hauna mtoto ko kaa kimya ebooohWenzio wanaingiza pesa wewe una kazi ya kupika majungu. Hawa watoto wetu wa kiume sijui tunakosea wapi kuwalea walah!!!
haujanielewa maana wewe ni hater [emoji23][emoji23][emoji23]Wimbo ushasema ni wa ray sijaona kama ni wa zuchu
KWani nyimbo zimetoka siku moja, na nyimbo ngapi zimetoka au ni zuchu na nandy waliotoa nyimbo peke yao?why nandy anatoa mpaka zuchu..? ndo hoja ilipo
haujanielewa maana wewe ni hater [emoji23][emoji23][emoji23]
wengi, but nandy na zuchu wanacompetition na nandy anawivu na zuchuKWani nyimbo zimetoka siku moja, na nyimbo ngapi zimetoka au ni zuchu na nandy waliotoa nyimbo peke yao?
naona wewe ndo haujanielewa haterAngalia uzi mzima kila mmoja hajakuelewa
wanawapamanisha ni mashabiki, wao wanafanya yao tu. Kama kutoa nyimbo nandy amekuwa akitoa nyimbo toka mwaka juzi bampa to bampa.wengi, but nandy na zuchu wanacompetition na nandy anawivu na zuchu
Uko sahihi.. kila mtu ana wafuasi wakeNdio biashara kila mtu na mashabiki wake,alafu mziki mzuri utaonekana tu kupitia digital platforms number zitaongea..
Hata wakitoa mia ninacho kiamini kila mtu ana mashabiki wake.
usiseme jamii forum sema wewe ndio umeamua kwenda na zuchu na rayvanny kwa nini usemee mioyo ya wengine all in all kama umeamua kuwa support hao lakini haitakuwa sababu ya hao wengine kutofanikiwa still bado wanaingiza mkwanjajamii forum tumeamua kwenda na rayvanny pamoja na zuchu sawa kijana
🤣🤣🤣🤣Bila picha huu uzi wako ni batili.
😂😂😂😂😂NUMBER ONE Rayvanny and ft zuchu ni Kali sana kuliko NIBAKISHIE ya nandy ft kibamia![]()
![]()
![]()
sawa but why, asitoe bampa to bampa akitoa maua sama au Ruby but mpaka atoe zuchu ndo hoja yangu ilipo.wanawapamanisha ni mashabiki, wao wanafanya yao tu. Kama kutoa nyimbo nandy amekuwa akitoa nyimbo toka mwaka juzi bampa to bampa.
wafuasi au mashabiki ...!!!??? [emoji23][emoji23][emoji23]
JF bwana inawachambuzi maridadi sana, long live JF.nimegundua kuwa anamuwza snaa Zuchu kuliko hata billnass
nimesema jamii forum kwa sababu wamekosa na fasi ya kuzungumza but all in all Mimi ndo chairman waousiseme jamii forum sema wewe ndio umeamua kwenda na zuchu na rayvanny kwa nini usemee mioyo ya wengine all in all kama umeamua kuwa support hao lakini haitakuwa sababu ya hao wengine kutofanikiwa still bado wanaingiza mkwanja
kijana ni zuchu tu, maana nandy kazeeka[emoji23][emoji23][emoji23]Waache vijana watafute pesa ndio muda wao huu
picha naweka yako sawa hater[emoji23][emoji23][emoji23]Bila picha huu uzi wako ni batili.