Zuchu akitoa wimbo na Nandy anatoa...? Basi ameingia mkenge

Zuchu akitoa wimbo na Nandy anatoa...? Basi ameingia mkenge

Habarini Wana jamvi..?
natumai my wazima wa afya.

nimejaribu kufuatilia kwa makini sumu ambayo ana mezeshwa nandy, kwa official new queen wetu wa bongo flavor one and only Zuchu.

nimegundua kuwa anamuwza snaa Zuchu kuliko hata billnass na kwa maana hii Basi amejiingiza mkenge mwenyewe na anaenda kufuria soon mara harmonize Mara alikiba anaomba collabo tu na Wala hazina maajabu.

na kibaya zaidi nandy sio full package Kama zuchu ambaye anaweza kuandika mwenyewe nyimbo zake.

Yaani kwa huu wimbo au utopolo wa kiwango Cha lami/PhD/HD na Sgr[emoji23][emoji23][emoji23] Sina lakusema.

N. B:
NUMBER ONE Rayvanny and ft zuchu ni Kali sana kuliko NIBAKISHIE ya nandy ft kibamia[emoji31][emoji31][emoji31]
Wewe kama unamchukia nandy sema tu, huwezi kumfananisha nandy na zuchu kamwe kwanza watu watakucheka huyo zuchu ni underground sema anabebwa kinguvu nandy ni msanii mkubwa ameshachukua tuzo kibao tena anabahati alianza alipokuwa underground alipewa nigeria tuzo na yemi alade nakumbuka akamtabilia kufika mbali, zuchu bado sana kumfikia nandy na anataka kupata umaarufu kupitia nandy ukweli ndio huo upo wazi tatizo mnakutupuka tuuu, zuchu hata uimbaji wake ni underground kabisa angeenda upande wa mama yake taarabu kidogo angefiti mpemba huyo, mi sina ushabiki but muulize mtu mwenye kuelewa mziki atakuelekeza
 
Wewe kama unamchukia nandy sema tu, huwezi kumfananisha nandy na zuchu kamwe kwanza watu watakucheka huyo zuchu ni underground sema anabebwa kinguvu nandy ni msanii mkubwa ameshachukua tuzo kibao tena anabahati alianza alipokuwa underground alipewa nigeria tuzo na yemi alade nakumbuka akamtabilia kufika mbali, zuchu bado sana kumfikia nandy na anataka kupata umaarufu kupitia nandy ukweli ndio huo upo wazi tatizo mnakutupuka tuuu, zuchu hata uimbaji wake ni underground kabisa angeenda upande wa mama yake taarabu kidogo angefiti mpemba huyo, mi sina ushabiki but muulize mtu mwenye kuelewa mziki atakuelekeza
Lebo dunuani kote kazi yao kubwa ni kumbeba msanii,kumpromoti na kuhakikisha anafika mbali.So mpaka unamwona Zuchu hapo jua Lebo imefanya kazi yake kama inavyotakiwa.

Alafu watu mmesahau huyu Nandy alikuwa KIPENZI CHA BOSS MJENGONI,alikuwa anabebwa waziwazi sema sasa hivi mbeleko hamna sababu boss kishavuta,lkn Nandy Kabebwa sana tena sana,kuanzia promo,show kubwakubwa,kutungiwa nyimbo na kupata air time ya kutosha.
 
Lebo dunuani kote kazi yao kubwa ni kumbeba msanii,kumpromoti na kuhakikisha anafika mbali.So mpaka unamwona Zuchu hapo jua Lebo imefanya kazi yake kama inavyotakiwa.

Alafu watu mmesahau huyu Nandy alikuwa KIPENZI CHA BOSS MJENGONI,alikuwa anabebwa waziwazi sema sasa hivi mbeleko hamna sababu boss kishavuta,lkn Nandy Kabebwa sana tena sana,kuanzia promo,show kubwakubwa,kutungiwa nyimbo na kupata air time ya kutosha.
Hadi sasa hiv bado anapewa promo kubwa pale mawingu fm
 
Wewe kama unamchukia nandy sema tu, huwezi kumfananisha nandy na zuchu kamwe kwanza watu watakucheka huyo zuchu ni underground sema anabebwa kinguvu nandy ni msanii mkubwa ameshachukua tuzo kibao tena anabahati alianza alipokuwa underground alipewa nigeria tuzo na yemi alade nakumbuka akamtabilia kufika mbali, zuchu bado sana kumfikia nandy na anataka kupata umaarufu kupitia nandy ukweli ndio huo upo wazi tatizo mnakutupuka tuuu, zuchu hata uimbaji wake ni underground kabisa angeenda upande wa mama yake taarabu kidogo angefiti mpemba huyo, mi sina ushabiki but muulize mtu mwenye kuelewa mziki atakuelekeza
pumbavu, Mimi nauelewa mziki zaidi yako nasema nandy ni utopolo uliochangamka, Kama point yako ni tuzo na mda mwingi mbona harmonize mnamshindanisha na diamond, achilia mbali diamond rayvanny ana BET mbona ametulia.

ZICHU NI BIG KULIKO NANDY MAKIKI
 
Lebo dunuani kote kazi yao kubwa ni kumbeba msanii,kumpromoti na kuhakikisha anafika mbali.So mpaka unamwona Zuchu hapo jua Lebo imefanya kazi yake kama inavyotakiwa.

Alafu watu mmesahau huyu Nandy alikuwa KIPENZI CHA BOSS MJENGONI,alikuwa anabebwa waziwazi sema sasa hivi mbeleko hamna sababu boss kishavuta,lkn Nandy Kabebwa sana tena sana,kuanzia promo,show kubwakubwa,kutungiwa nyimbo na kupata air time ya kutosha.
fact NI mda wa zuchu now
 
Back
Top Bottom