Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
- Thread starter
- #41
umefurahia[emoji31][emoji31][emoji31][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umefurahia[emoji31][emoji31][emoji31][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
umekubali show[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji122][emoji122][emoji122]JF bwana inawachambuzi maridadi sana, long live JF.
You only see what your eyes want to seesawa but why, asitoe bampa to bampa akitoa maua sama au Ruby but mpaka atoe zuchu ndo hoja yangu ilipo.
Mtoto wa kiume mbona una wivu kwa watoto wa kike ? Hio Ni Sanaa, kila mtu ana rizk yake , wacha wapambane !!!
Wewe ulitakaje ?
🤣🤣 aiiisekijana ni zuchu tu, maana nandy kazeeka[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe kama unamchukia nandy sema tu, huwezi kumfananisha nandy na zuchu kamwe kwanza watu watakucheka huyo zuchu ni underground sema anabebwa kinguvu nandy ni msanii mkubwa ameshachukua tuzo kibao tena anabahati alianza alipokuwa underground alipewa nigeria tuzo na yemi alade nakumbuka akamtabilia kufika mbali, zuchu bado sana kumfikia nandy na anataka kupata umaarufu kupitia nandy ukweli ndio huo upo wazi tatizo mnakutupuka tuuu, zuchu hata uimbaji wake ni underground kabisa angeenda upande wa mama yake taarabu kidogo angefiti mpemba huyo, mi sina ushabiki but muulize mtu mwenye kuelewa mziki atakuelekezaHabarini Wana jamvi..?
natumai my wazima wa afya.
nimejaribu kufuatilia kwa makini sumu ambayo ana mezeshwa nandy, kwa official new queen wetu wa bongo flavor one and only Zuchu.
nimegundua kuwa anamuwza snaa Zuchu kuliko hata billnass na kwa maana hii Basi amejiingiza mkenge mwenyewe na anaenda kufuria soon mara harmonize Mara alikiba anaomba collabo tu na Wala hazina maajabu.
na kibaya zaidi nandy sio full package Kama zuchu ambaye anaweza kuandika mwenyewe nyimbo zake.
Yaani kwa huu wimbo au utopolo wa kiwango Cha lami/PhD/HD na Sgr[emoji23][emoji23][emoji23] Sina lakusema.
N. B:
NUMBER ONE Rayvanny and ft zuchu ni Kali sana kuliko NIBAKISHIE ya nandy ft kibamia[emoji31][emoji31][emoji31]
Lebo dunuani kote kazi yao kubwa ni kumbeba msanii,kumpromoti na kuhakikisha anafika mbali.So mpaka unamwona Zuchu hapo jua Lebo imefanya kazi yake kama inavyotakiwa.Wewe kama unamchukia nandy sema tu, huwezi kumfananisha nandy na zuchu kamwe kwanza watu watakucheka huyo zuchu ni underground sema anabebwa kinguvu nandy ni msanii mkubwa ameshachukua tuzo kibao tena anabahati alianza alipokuwa underground alipewa nigeria tuzo na yemi alade nakumbuka akamtabilia kufika mbali, zuchu bado sana kumfikia nandy na anataka kupata umaarufu kupitia nandy ukweli ndio huo upo wazi tatizo mnakutupuka tuuu, zuchu hata uimbaji wake ni underground kabisa angeenda upande wa mama yake taarabu kidogo angefiti mpemba huyo, mi sina ushabiki but muulize mtu mwenye kuelewa mziki atakuelekeza
Hadi sasa hiv bado anapewa promo kubwa pale mawingu fmLebo dunuani kote kazi yao kubwa ni kumbeba msanii,kumpromoti na kuhakikisha anafika mbali.So mpaka unamwona Zuchu hapo jua Lebo imefanya kazi yake kama inavyotakiwa.
Alafu watu mmesahau huyu Nandy alikuwa KIPENZI CHA BOSS MJENGONI,alikuwa anabebwa waziwazi sema sasa hivi mbeleko hamna sababu boss kishavuta,lkn Nandy Kabebwa sana tena sana,kuanzia promo,show kubwakubwa,kutungiwa nyimbo na kupata air time ya kutosha.
ok cereals, but don't hate learn to appreciate [emoji3514]You only see what your eyes want to see
How can life be what you want it to be
You're frozen
When your heart's not open
fact ndo our new queen of bongo flavorHaka kazuchu hapana, huyu mtoto anaimba basi tu, !! My favourite
hater [emoji23][emoji23][emoji23]
kumbe wewe ni wakike[emoji23][emoji23][emoji23]Ulisikia wapi huyo ni mtoto wa kiume!
Mtake radhi.
fact[emoji3514][emoji1787][emoji1787] aiiise
pumbavu, Mimi nauelewa mziki zaidi yako nasema nandy ni utopolo uliochangamka, Kama point yako ni tuzo na mda mwingi mbona harmonize mnamshindanisha na diamond, achilia mbali diamond rayvanny ana BET mbona ametulia.Wewe kama unamchukia nandy sema tu, huwezi kumfananisha nandy na zuchu kamwe kwanza watu watakucheka huyo zuchu ni underground sema anabebwa kinguvu nandy ni msanii mkubwa ameshachukua tuzo kibao tena anabahati alianza alipokuwa underground alipewa nigeria tuzo na yemi alade nakumbuka akamtabilia kufika mbali, zuchu bado sana kumfikia nandy na anataka kupata umaarufu kupitia nandy ukweli ndio huo upo wazi tatizo mnakutupuka tuuu, zuchu hata uimbaji wake ni underground kabisa angeenda upande wa mama yake taarabu kidogo angefiti mpemba huyo, mi sina ushabiki but muulize mtu mwenye kuelewa mziki atakuelekeza
fact NI mda wa zuchu nowLebo dunuani kote kazi yao kubwa ni kumbeba msanii,kumpromoti na kuhakikisha anafika mbali.So mpaka unamwona Zuchu hapo jua Lebo imefanya kazi yake kama inavyotakiwa.
Alafu watu mmesahau huyu Nandy alikuwa KIPENZI CHA BOSS MJENGONI,alikuwa anabebwa waziwazi sema sasa hivi mbeleko hamna sababu boss kishavuta,lkn Nandy Kabebwa sana tena sana,kuanzia promo,show kubwakubwa,kutungiwa nyimbo na kupata air time ya kutosha.
fact NI mda wa zuchu now
You're so consumed with how much you getok cereals, but don't hate learn to appreciate [emoji3514]