Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
Wabongo mnapenda kukuza mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kivipiHakuna alichowaza zaidi ya copy and paste kutoka Kwa Rihanna
ubunifu wa hivyo mbona ni wa kuzidishaNi Ubunifu2..Sometimes tufanye vitu vya kitofauti..we huoni Thriller ya MJ ilivokua?..Story kaiandaa mwenyewe then kapata na director bora wa kui'actualize safi kabisa (Fole X)
mimi macho ya kiroho wala sina ila vitu vya kutisha utavijua tuyou guys are taking things seriously!! yan hiki nako ni cha kukijadili? si ni vile king'ang'a ameamua kuja kivingine kaka?? au wenzetu ndio mmefungua third eye mkaona huo ushetani? we nipe vimacho, tikisa vimacho, lazima irudiwe sababu nataka tena!!
huyu si anaimba nyimbo za kidunia anafanyaje yanayohusu dini?Wakifanya Yahusuyo Dini Mnasema Wanamdhihaki Mungu,,,Huku Napo Kinagaubaga,,Nadhani Mambo Yao Tuwaachie Wenyewe Au??
wewe mbona unayo mkuuMbona hujaiweka hiyo antena sasa? 😼
video imefanana na the conjuring 2 aisee😅sema dogo acha uoga, Kama una angalia sawa x hiyo nyimbo Ina kuchanganya kipi??.
back in the days kulikuwa na movies za kutisha Kama, nsyuka, saladini, shumileta na hata zile za sultan tamba oya kulala ili kuwa jau😂😂
sema mimi naona video ni low quality, au mpangilio mbaya tu.video imefanana na the conjuring 2 aisee😅
Kwani Wanao Imba Nyimbo Za Kidini Ya Dunia Hayawahusu?Vivyo Hivyo Kwa Wanaoimba Hizo Nyimbo Mnazoita Za Kidunia Ya Dini Hayawahusu??huyu si anaimba nyimbo za kidunia anafanyaje yanayohusu dini?
upo sahihi kabisaHumu ndani watu tuna uelewa tofauti tofauti lakini lakini pia watu wa fb wapo, just imagine hawa wasanii wa bongo kuhusishwa na freemason ni matokeo ya editing videos and myth stories toka kwenye account za youtube na mtu na elimu yake anazibeba kama zilivyo na kuzileta jf kwa watu wenye IQ pana kabisa. sio kwamba najiongelesha tu artist wengi nmekaa nao so hizi stori za mara ooh frimason mara oooh ka mpdidi nan, sipendi mtu mwenye akili kubwa apelekekeshwe na tiktokers,youtubers kwa fake details....
Mbona sasa haikamati Channel 😹😹wewe mbona unayo mkuu
ni vile umeamua tu kuichukulia kwa kutisha mimi mwanzo nilisema why kama mazombi then nikajiambia its non of my business as long nainjoi gud music from hermimi macho ya kiroho wala sina ila vitu vya kutisha utavijua tu