Zuchu amewaza nini kwenye video ya wimbo wake wa Antenna?

Zuchu amewaza nini kwenye video ya wimbo wake wa Antenna?

Anarudisha sifakm kwa anayemuabudu, huwez kuwa na akili timam ukafanya vile, like ni agano
 
Mimi ni shabiki wa Zuchu kwa kiasi fulani...

Kuna huu wimbo wake mpya unaitwa "antenna" nimeusikia sikia huko mitaani nikasema ngoja nitafute video niangalie.

Aisee, kwenye ile video ameweka picha za kutisha sana, kuna sehemu amejiweka kama jini/pepo anafanya vitu vya ajabu ajabu, video inaogofya, kuna vipande vinakera.

Sijawahi kuona video ya kitanzania yenye maudhui ya kishetani namna hii.

View attachment 3201028

Labda ameona aige kwa wazungu kina doja cat, lil nas x, sam smith... wale wanafanya hivyo ili kuwashangaza mashabiki, mashabiki wapate cha kuwaongelea. Na pia kuna wengine wanamuabudu shetani kabisa.

Lakini kwa hapa bongo watu wengi wanachukulia dini serious, hii video wanaweza kuiona kama dhihaka halafu wakaja kumchukia.

View attachment 3201041

Na inawezekana kabisa mashabiki wake wengi ni wakristo....

View attachment 3201045
Huyo kawa illuminati na ni freemason wa 33 degree.. alisikika mtanzania mmoja kule bonyokwa 😅😅😅
 
you guys are taking things seriously!! yan hiki nako ni cha kukijadili? si ni vile king'ang'a ameamua kuja kivingine kaka?? au wenzetu ndio mmefungua third eye mkaona huo ushetani? we nipe vimacho, tikisa vimacho, lazima irudiwe sababu nataka tena!!
😂😂😂😂
 
Haya yote ni matokeo ya ukosefu wa ajira watu hawana issues za kufanya kwa hiyo wanajikita kwenye minor issues,we ukitaka kuamini hili nenda hata pale manzese darajani afu watangazie watu kuwa unataka kujirusha mpaka chini ili ufe,nakwambia hazitazidi dk 4 watu watakuwa wamerundikana kama wako kwenye mkesha wa mwamposa wakisubiri waone jinsi unavyojirusha darajani huku wakichukua video hii ina maana kuwa watu hawana shughuli za kufanya kwa hiyo wanakuwa na muda mwingi wa kuzurura mitaani kwa hiyo wakikutana na tukio lolote wanaona hapo ndipo pa kupotezea muda ili masaa yasogee,the same kwenye mitandao ya kijamii yaani watu wanajadili vitu vya kipuuzi ambavyo ni nonsense kwa sababu hawana kazi za kufanya hivyo wanavuta masaa yasogee kwa kujadili upuuzi
 
Mimi ni shabiki wa Zuchu kwa kiasi fulani...

Kuna huu wimbo wake mpya unaitwa "antenna" nimeusikia sikia huko mitaani nikasema ngoja nitafute video niangalie.

Aisee, kwenye ile video ameweka picha za kutisha sana, kuna sehemu amejiweka kama jini/pepo anafanya vitu vya ajabu ajabu, video inaogofya, kuna vipande vinakera.

Sijawahi kuona video ya kitanzania yenye maudhui ya kishetani namna hii.

View attachment 3201028

Labda ameona aige kwa wazungu kina doja cat, lil nas x, sam smith... wale wanafanya hivyo ili kuwashangaza mashabiki, mashabiki wapate cha kuwaongelea. Na pia kuna wengine wanamuabudu shetani kabisa.

Lakini kwa hapa bongo watu wengi wanachukulia dini serious, hii video wanaweza kuiona kama dhihaka halafu wakaja kumchukia.

View attachment 3201041

Na inawezekana kabisa mashabiki wake wengi ni wakristo....

View attachment 3201045
Mashabiki wake wengi wakristo? Aisee majitu ya uswahilini ndo utaskia mambo kama haya ya udini akili hamna kbs
 
Mimi ni shabiki wa Zuchu kwa kiasi fulani...

Kuna huu wimbo wake mpya unaitwa "antenna" nimeusikia sikia huko mitaani nikasema ngoja nitafute video niangalie.

Aisee, kwenye ile video ameweka picha za kutisha sana, kuna sehemu amejiweka kama jini/pepo anafanya vitu vya ajabu ajabu, video inaogofya, kuna vipande vinakera.

Sijawahi kuona video ya kitanzania yenye maudhui ya kishetani namna hii.

View attachment 3201028

Labda ameona aige kwa wazungu kina doja cat, lil nas x, sam smith... wale wanafanya hivyo ili kuwashangaza mashabiki, mashabiki wapate cha kuwaongelea. Na pia kuna wengine wanamuabudu shetani kabisa.

Lakini kwa hapa bongo watu wengi wanachukulia dini serious, hii video wanaweza kuiona kama dhihaka halafu wakaja kumchukia.

View attachment 3201041

Na inawezekana kabisa mashabiki wake wengi ni wakristo....

View attachment 3201045
Muziki na kazi za Sanaa na burudani zote hizo ni kazi za shetani
 
Huwezi kujificha siku zote. Kuna siku mapembe yako yataonekana tu
 
Back
Top Bottom