Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Meya mstaafu wa californiaNdio nani huyo huko Daslam?
Huyo kawa illuminati na ni freemason wa 33 degree.. alisikika mtanzania mmoja kule bonyokwa 😅😅😅Mimi ni shabiki wa Zuchu kwa kiasi fulani...
Kuna huu wimbo wake mpya unaitwa "antenna" nimeusikia sikia huko mitaani nikasema ngoja nitafute video niangalie.
Aisee, kwenye ile video ameweka picha za kutisha sana, kuna sehemu amejiweka kama jini/pepo anafanya vitu vya ajabu ajabu, video inaogofya, kuna vipande vinakera.
Sijawahi kuona video ya kitanzania yenye maudhui ya kishetani namna hii.
View attachment 3201028
Labda ameona aige kwa wazungu kina doja cat, lil nas x, sam smith... wale wanafanya hivyo ili kuwashangaza mashabiki, mashabiki wapate cha kuwaongelea. Na pia kuna wengine wanamuabudu shetani kabisa.
Lakini kwa hapa bongo watu wengi wanachukulia dini serious, hii video wanaweza kuiona kama dhihaka halafu wakaja kumchukia.
View attachment 3201041
Na inawezekana kabisa mashabiki wake wengi ni wakristo....
View attachment 3201045
Hivi huyo shetani yupo kweli?Labda ana elements za.kishetani, na ukitaka ku normalize kitu unakifanya kama utani.
Lazima itaanza kuvuna watu.
Hakuna alichowaza zaidi ya copy and paste kutoka Kwa Rihanna
😀😀😀😀N kawaida nyie wanawake kuogopa vitu vidogo
😂😂😂😂Meya wa California
😂😂😂😂Hakuna alichowaza zaidi ya copy and paste kutoka Kwa Rihanna
😂😂😂😂Wakifanya Yahusuyo Dini Mnasema Wanamdhihaki Mungu,,,Huku Napo Kinagaubaga,,Nadhani Mambo Yao Tuwaachie Wenyewe Au??
😂😂😂😂Wimbo wake..✅✅✅
Nyimbo yake ❎❎❎
😂😂😂😂you guys are taking things seriously!! yan hiki nako ni cha kukijadili? si ni vile king'ang'a ameamua kuja kivingine kaka?? au wenzetu ndio mmefungua third eye mkaona huo ushetani? we nipe vimacho, tikisa vimacho, lazima irudiwe sababu nataka tena!!
California ya Tandale au Buza ?Meya wa California
Unatumia reference ipi kuijua picha/sura ya jini au pepo? Uliwahi kuviona wapi hivi vitu hadi ujue vinafanana vpkuna sehemu amejiweka kama jini/pepo anafanya vitu vya ajabu ajabu,
Mashabiki wake wengi wakristo? Aisee majitu ya uswahilini ndo utaskia mambo kama haya ya udini akili hamna kbsMimi ni shabiki wa Zuchu kwa kiasi fulani...
Kuna huu wimbo wake mpya unaitwa "antenna" nimeusikia sikia huko mitaani nikasema ngoja nitafute video niangalie.
Aisee, kwenye ile video ameweka picha za kutisha sana, kuna sehemu amejiweka kama jini/pepo anafanya vitu vya ajabu ajabu, video inaogofya, kuna vipande vinakera.
Sijawahi kuona video ya kitanzania yenye maudhui ya kishetani namna hii.
View attachment 3201028
Labda ameona aige kwa wazungu kina doja cat, lil nas x, sam smith... wale wanafanya hivyo ili kuwashangaza mashabiki, mashabiki wapate cha kuwaongelea. Na pia kuna wengine wanamuabudu shetani kabisa.
Lakini kwa hapa bongo watu wengi wanachukulia dini serious, hii video wanaweza kuiona kama dhihaka halafu wakaja kumchukia.
View attachment 3201041
Na inawezekana kabisa mashabiki wake wengi ni wakristo....
View attachment 3201045
Afisa mifugo wa kataZuchu ni nani ?
Muziki na kazi za Sanaa na burudani zote hizo ni kazi za shetaniMimi ni shabiki wa Zuchu kwa kiasi fulani...
Kuna huu wimbo wake mpya unaitwa "antenna" nimeusikia sikia huko mitaani nikasema ngoja nitafute video niangalie.
Aisee, kwenye ile video ameweka picha za kutisha sana, kuna sehemu amejiweka kama jini/pepo anafanya vitu vya ajabu ajabu, video inaogofya, kuna vipande vinakera.
Sijawahi kuona video ya kitanzania yenye maudhui ya kishetani namna hii.
View attachment 3201028
Labda ameona aige kwa wazungu kina doja cat, lil nas x, sam smith... wale wanafanya hivyo ili kuwashangaza mashabiki, mashabiki wapate cha kuwaongelea. Na pia kuna wengine wanamuabudu shetani kabisa.
Lakini kwa hapa bongo watu wengi wanachukulia dini serious, hii video wanaweza kuiona kama dhihaka halafu wakaja kumchukia.
View attachment 3201041
Na inawezekana kabisa mashabiki wake wengi ni wakristo....
View attachment 3201045