Kasongo yeeyee
JF-Expert Member
- Oct 14, 2024
- 308
- 654
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Damu mbichi gani Zuhura kishangazi kabisaaa.There's a lot of shit going on behind the scenes.
Ndo maana vannesa alijitoa, zuchu bado hajakua kifikra, angelitambua mapema kua hana Chake na anatumika asinge anzisha mahusiano na boss wake. She's gonna be miserable sana na bado damu mbichi mtoto wa watu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Zuchu ni Mwanamke mzuri sana, yaan mi nakapenda kalivyo kadogo kadogo kama katoto yaan ni zile sampuli unakua unabeba unapeleka bafuni unakaosha then kana vaa nguo nyepesi unaweka mapajani unalisha na kukanywesha maziwa ama juisi etc then kakishiba unakafuta mdomo unakaweka kifuani unakabembeleza kalale na hivi kana nywele fupi ni kumassage kichwa, mgongo mwanzo mwisho mpaka kasinzie.. yaan iyo inakua daily dose mpaka ukiwa unaenda kwenye kazi zetu za kunuka nguvu kawe kanakulilia..
Kuwa yamemfika hapaaWangeyaongea tu chumbani, yanaongeleka.....
Hii imeenda 🤣🤣 na imekaaa kimkakati na kama kakipita hapa mbona tutachoma ubani 2025 hiiZuchu ni Mwanamke mzuri sana, yaan mi nakapenda kalivyo kadogo kadogo kama katoto yaan ni zile sampuli unakua unabeba unapeleka bafuni unakaosha then kana vaa nguo nyepesi unaweka mapajani unalisha na kukanywesha maziwa ama juisi etc then kakishiba unakafuta mdomo unakaweka kifuani unakabembeleza kalale na hivi kana nywele fupi ni kumassage kichwa, mgongo mwanzo mwisho mpaka kasinzie.. yaan iyo inakua daily dose mpaka ukiwa unaenda kwenye kazi zetu za kunuka nguvu kawe kanakulilia..
Mkuu kama unaijua ID yake mtag bas aje aone …. Nampenda Sana Zuhura Othman KopaHii imeenda 🤣🤣 na imekaaa kimkakati na kama kakipita hapa mbona tutachoma ubani 2025 hii
Tafuta kazi ya kufanyaMkuu kama unaijua ID yake mtag bas aje aone …. Nampenda Sana Zuhura Othman Kopa
😁😀Sasa mkuu katapata muda wa kupanda majukwaani kwa style hiyo?Zuchu ni Mwanamke mzuri sana, yaan mi nakapenda kalivyo kadogo kadogo kama katoto yaan ni zile sampuli unakua unabeba unapeleka bafuni unakaosha then kana vaa nguo nyepesi unaweka mapajani unalisha na kukanywesha maziwa ama juisi etc then kakishiba unakafuta mdomo unakaweka kifuani unakabembeleza kalale na hivi kana nywele fupi ni kumassage kichwa, mgongo mwanzo mwisho mpaka kasinzie.. yaan iyo inakua daily dose mpaka ukiwa unaenda kwenye kazi zetu za kunuka nguvu kawe kanakulilia..
Haka katoto kanatangaza mala kibao kuachana siku mbili tatu hakoo tenaaaWangeyaongea tu chumbani, yanaongeleka.....