Zuchu amtambia shabiki kuwa bwana yake ni tajiri na anaishi kwenye hekalu!

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Msanii Zuchu aliamua kumtambia Shabiki yake kwenye mtandao wa instagram baada ya shabiki huyo kumwambia Zuchu kuwa alikuwa anamzidi uzuri na hadi sasa bado anamzidi uzuri...

Zuchu baada ya kuona maoni hayo ya shabiki yake hakutaka kuyaaacha badala yake alimjibu shabiki huyo kuwa pamoja na ubaya wake ila yeye ana bwana tajiri na amekolea kweli kweli kwake na hapindui na anaishi kwenye hekalu na pia kwa sasa ana gari mbili na ya tatu ameagiza inakuja.

 
Mashabiki kuna muda wanazingua. Mtu kashiba ugali anaenda msema mwenzake mbaya, sasa akiwa mbaya afanyeje?

[emoji23][emoji23][emoji23]alitaka ajichore upya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…