Unaweza kuta hata kula hajala.Mashabiki kuna muda wanazingua. Mtu kashiba ugali anaenda msema mwenzake mbaya, sasa akiwa mbaya afanyeje?
😂😂😂 yani shabiki kama huyo ukifungua profile yake unajiuliza anapata wapi nguvu ya kutukana mastaa!Unaweza kuta hata kula hajala. Ameamka na buku amenunua bando kuja kutukana watu mitandaoni 😂
Hapo sasa mi hata sa ingine siwaelewiiMashabiki kuna muda wanazingua. Mtu kashiba ugali anaenda msema mwenzake mbaya, sasa akiwa mbaya afanyeje?
Aende utrukiiiii sio uturuki 😝Mashabiki kuna muda wanazingua. Mtu kashiba ugali anaenda msema mwenzake mbaya, sasa akiwa mbaya afanyeje?
Sio tabia tuu , kuna maufundi mengine ya kuzaliwaMwanamke siyo sura tu,tabia hasa ndiyo inamata.
Hataki funguliwa mashtaka unaoa mke kisu anazaa watoto wana sura ngumu unakuja kugundua alifanya surgery ya kurekebisha uso.Aende utrukiiiii sio uturuki 😝