Zuchu amtambia shabiki kuwa bwana yake ni tajiri na anaishi kwenye hekalu!

Zuchu amtambia shabiki kuwa bwana yake ni tajiri na anaishi kwenye hekalu!

Weka wewe sura yako tuione kama ya Zuchu ipo kama chapati.!
Btw wewe mwenye sura nzuri una mafanikio gani yalotokana na sura yako au sababu upo behind the keypad!!....dont panic though...
Duh Phoenix naona umempa mwenzako kichambo heavy si vizuri hivyo ujue akikujibu nitag
 
Kuna clip mama yake zuchu anahojiwa,

mtangazaji anamuuliza kopa kuhusu zuchu , kopa anajibu kwanba

Kuna walio zaa watoto na wengine wakanya watoto yeye alizaa, nikajiuliza bibi wa vile anaweza ropoka vile kwenye media kweli? Kwamba wazazi wengine walikunya yeye alizaa?

Diamond tuna imani na wewe, najua utakuja kukapiga tukio misipa ya shingo ichomoze.

Aliachika tanasha mwenye sura yake, zari mwenye status zake, hamisa mwenye shape yake, wema mwenye vingereza vyake, sembuse huyu zuchu wa mwananyamala shape hana , na sura yake pana kama kachapati? Nyooooo[emoji57][emoji57][emoji57]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana hapa uwiiiih.
 
Msanii Zuchu aliamua kumtambia Shabiki yake kwenye mtandao wa instagram baada ya shabiki huyo kumwambia Zuchu kuwa alikuwa anamzidi uzuri na hadi sasa bado anamzidi uzuri...

Zuchu baada ya kuona maoni hayo ya shabiki yake hakutaka kuyaaacha badala yake alimjibu shabiki huyo kuwa pamoja na ubaya wake ila yeye ana bwana tajiri na amekolea kweli kweli kwake na hapindui na anaishi kwenye hekalu na pia kwa sasa ana gari mbili na ya tatu ameagiza inakuja.

Kumwambia mtu mbaya ni kukosoa uumbaji wa mungu.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kuna clip mama yake zuchu anahojiwa,

mtangazaji anamuuliza kopa kuhusu zuchu , kopa anajibu kwanba

Kuna walio zaa watoto na wengine wakanya watoto yeye alizaa, nikajiuliza bibi wa vile anaweza ropoka vile kwenye media kweli? Kwamba wazazi wengine walikunya yeye alizaa?

Diamond tuna imani na wewe, najua utakuja kukapiga tukio misipa ya shingo ichomoze.

Aliachika tanasha mwenye sura yake, zari mwenye status zake, hamisa mwenye shape yake, wema mwenye vingereza vyake, sembuse huyu zuchu wa mwananyamala shape hana , na sura yake pana kama kachapati? Nyooooo[emoji57][emoji57][emoji57]
Hata marehemu Omary mmombasa, alizaa.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
1648978400422.png
 
Siku moja Mzee mmoja alinambiya,

Mjukuu wangu ukitaka kuoa mwanamke yeyote,
Kwanza muangalie mama yake alivyo,
Kuanzia Sura hadi umbile.

Vile alivyo mama wa mkeo ndy atakavyokuwa mkeo baadae.

Sasa mondi asije kukimbia nyumba Tu.
Muda ni mwalimu mzuri.
 
Tukiweka ushabiki pembeni, kuna kaukweli fulani hivi kuwa wasanii wengi wa kike wenye majina bongo upande wa uzuri kidogo wamepwaya. Huwezi kupewa vyote
 
Hataki funguliwa mashtaka unaoa mke kisu anazaa watoto wana sura ngumu unakuja kugundua alifanya surgery ya kurekebisha uso.

Unamshtaki kama yule mchina alivyomshtak mke wake
Ile kesi sijui iliishia wapi [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom