Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Pole yao, mtoto wa Unguja ndio anamiliki Moyo wa Mondi now, hivi hawaoni hata walivyowashushua kwenye wimbo wa Mtasubiri,Wanawake wengi wanatamani sana kuwa kwenye hiyo nafasi,kisirisiri lakini.
Beki wa kushoto wa YangaHuyu sijui Zuchu anaye jadiliwa hapa ndio nani huko Daslam?
Eti shabiki aliyeshiba ugali 🤣🤣🤣 mwamba Umenichekesha aiseeMashabiki kuna muda wanazingua.
Mtu kashiba ugali anaenda msema mwenzake mbaya, sasa akiwa mbaya afanyeje?
Kabisa shida inaanzia kwasababu ya gharama ya bando watu wanamudu wengi hata wale wa buza utawakuta wapoInstagram ni mtandao ambao watu wake ni kama wamechanganyikiwa,
Sijawahi upenda huo Mtandao.
Duh Phoenix naona umempa mwenzako kichambo heavy si vizuri hivyo ujue akikujibu nitagWeka wewe sura yako tuione kama ya Zuchu ipo kama chapati.!
Btw wewe mwenye sura nzuri una mafanikio gani yalotokana na sura yako au sababu upo behind the keypad!!....dont panic though...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana hapa uwiiiih.Kuna clip mama yake zuchu anahojiwa,
mtangazaji anamuuliza kopa kuhusu zuchu , kopa anajibu kwanba
Kuna walio zaa watoto na wengine wakanya watoto yeye alizaa, nikajiuliza bibi wa vile anaweza ropoka vile kwenye media kweli? Kwamba wazazi wengine walikunya yeye alizaa?
Diamond tuna imani na wewe, najua utakuja kukapiga tukio misipa ya shingo ichomoze.
Aliachika tanasha mwenye sura yake, zari mwenye status zake, hamisa mwenye shape yake, wema mwenye vingereza vyake, sembuse huyu zuchu wa mwananyamala shape hana , na sura yake pana kama kachapati? Nyooooo[emoji57][emoji57][emoji57]
Kumwambia mtu mbaya ni kukosoa uumbaji wa mungu.Msanii Zuchu aliamua kumtambia Shabiki yake kwenye mtandao wa instagram baada ya shabiki huyo kumwambia Zuchu kuwa alikuwa anamzidi uzuri na hadi sasa bado anamzidi uzuri...
Zuchu baada ya kuona maoni hayo ya shabiki yake hakutaka kuyaaacha badala yake alimjibu shabiki huyo kuwa pamoja na ubaya wake ila yeye ana bwana tajiri na amekolea kweli kweli kwake na hapindui na anaishi kwenye hekalu na pia kwa sasa ana gari mbili na ya tatu ameagiza inakuja.
Hata marehemu Omary mmombasa, alizaa.Kuna clip mama yake zuchu anahojiwa,
mtangazaji anamuuliza kopa kuhusu zuchu , kopa anajibu kwanba
Kuna walio zaa watoto na wengine wakanya watoto yeye alizaa, nikajiuliza bibi wa vile anaweza ropoka vile kwenye media kweli? Kwamba wazazi wengine walikunya yeye alizaa?
Diamond tuna imani na wewe, najua utakuja kukapiga tukio misipa ya shingo ichomoze.
Aliachika tanasha mwenye sura yake, zari mwenye status zake, hamisa mwenye shape yake, wema mwenye vingereza vyake, sembuse huyu zuchu wa mwananyamala shape hana , na sura yake pana kama kachapati? Nyooooo[emoji57][emoji57][emoji57]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aah[emoji28][emoji16] umefuraije.?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan uwiiiiih
Tenaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan uwiiiiih
Ile kesi sijui iliishia wapi [emoji3][emoji3][emoji3]Hataki funguliwa mashtaka unaoa mke kisu anazaa watoto wana sura ngumu unakuja kugundua alifanya surgery ya kurekebisha uso.
Unamshtaki kama yule mchina alivyomshtak mke wake