Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Acha tusubiri tuone kama ndoa ipo ama vinginevyo kwani wamedumu pamoja muda mrefu sasaAtaoa kweli mwamba huyo zaidi ya drama?
😂 au sioDiamond hapo kimoyo moyo anasema "Naijua iyooo"
Kama butter trade fulani hiviNioe nikuzalie
Nizalie nikuoe
➡️⬅️
Inaendana na madomo yaoPorojo Sana
Ngoja wajeWakuu Zuchu kaweka kikwazo, tusubiri Diamond kama atakivuka 😆
Staa wa Bongo Fleva, Zuchu amempa sharti la ndoa Diamond Platnumz ndio waweze kupata mtoto pamoja baada ya Nyota huyo kumuuliza kama anamuamini na atamzalia wakiwa jukwaani wakitoa burudani ya muziki kwenye usiku wa kuamkia Oktoba 27, 2024 kwenye Tamasha la Wasafi, Muleba Mkoani Kagera.
View attachment 3136254
Pia, Soma:
• Hizi ndizo couple za Diamond Platnumz zilizokosa mvuto ikiwemo couple ya Zuchu
• Hivi ndivyo mastaa wa Bongo wanavyopiga hela nje ya muziki
Mtalaamu wa migodi, a.k.a play boyAtaoa kweli mwamba huyo zaidi ya drama?
Kuku na yai kipi kilianza kabla ya mwenzake?Nioe nikuzalie
Nizalie nikuoe
➡️⬅️
kuku ndo alianza afu akataga yaiKuku na yai kipi kilianza kabla ya mwenzake?