Zuchu amuwekea Diamond Platnumz sharti zito kabla ya kupata mtoto pamoja

Zuchu amuwekea Diamond Platnumz sharti zito kabla ya kupata mtoto pamoja

 
Ondoka wasafi,utafanikiwa zaidi,jipange vizuri,tafuta wataalamu wa sheria,muziki na saikolojia wakupe njia nzuri ya kuondoka
 
Hawezi maana kazoea kiki na kiki ni wasafi signature
 
Wakuu Zuchu kaweka kikwazo, tusubiri Diamond kama atakivuka 😆

Staa wa Bongo Fleva, Zuchu amempa sharti la ndoa Diamond Platnumz ndio waweze kupata mtoto pamoja baada ya Nyota huyo kumuuliza kama anamuamini na atamzalia wakiwa jukwaani wakitoa burudani ya muziki kwenye usiku wa kuamkia Oktoba 27, 2024 kwenye Tamasha la Wasafi, Muleba Mkoani Kagera.
View attachment 3136254
Pia, Soma:
Hizi ndizo couple za Diamond Platnumz zilizokosa mvuto ikiwemo couple ya Zuchu
Hivi ndivyo mastaa wa Bongo wanavyopiga hela nje ya muziki
Binti ana akili sana
Ingawa wengi wanamuona Zuchu ana ufyatu, mimi huwa namfuatilia sana hasa sanaa yake. Sijawahi kupunguza viwango vya kumkubali ingawa kuna wakati anatoa vibao ashakum kinyama.

Diamond namuunga mkono sana. Sina baya naye ila kwenye moja tu. Kushindwa kujiheshimu kwenye issues za wanawake.

Ugomvi wao, mimi siingilii bali nashauri waketishwe na wenye hekima ili kujenga msingi wa mapatano. Wapendanao hugombana sana ili kukomaza huba lao.

Tusiweke petrol kwenye issue yao bali tuangalie hatma ya muziki wa TZ na tuwajengee stability ya kukubaliana kistaarab hata kama hatima itakuwa chungu either the party but them must swallow the pride and move on...
 
Back
Top Bottom