ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
Wana wanapenda sana kitonga! Si ulimuona hata wa msoga alikuwa hajipi stress za kuendeleza nchi akaamua kuwa explorel Vasco da Gama!Inawezekana lakini ngoja wenyewe waje kupinga hili au wathibitishe kama ni kweli usemacho.
This is bold statement!!Wana wanapenda sana kitonga!
Hahaaa but leo tekno ana mafanikio makubwa sanaTecno Own The Stage kule Nigeria si alipitwa na Nandy??? Au nyota ilikuwa bado kuwaka?Muziki wa Afrika una utimu..ukiwa WCB hata Kingwendu akitoa ngoma views 4m
Hahaa nani mwingine kama sio weweNasikia Kuna mtu aliuliza jina lake Kama anaitwa ZUCHU au chuchu
Yaani yule jamaa anawaza wanawake kila wakati[emoji1787][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naam true kabisaJK mwamba sana kwenye kujichanganya. Mtu wa watu.
Mtu wa pwani kwelikweli. Mtu wa pwani ni rafiki wa kila mtu.
Make no mistake, ukimzingua mtu wa pwani anakushughulikia kweli kweli tena kimya kimya ndiyo maana wengi wanasifika kwamba wanafiki sababu wanajua kuficha hisia zao mbele ya watu.
Mzaramo, Mkwere , Mndengereko anakuumiza huku anakuchekea.
Ila na nyi ma CCM bana... Yani kwa vile mwenyekiti kamuelewa tu basi na nyi mnaanadamana...!!She is young and beautiful,she is talented,she is charismatic,she has hunger and urge for success.....
I wish Her much exquisite wishes,aaaamen.
Go Go Go Zuchu.
Ruby!!!? Mnh!! Hivi kuna msanii pale!?Mkuu yote umeongea ukweli ila tu hapo kwnye kusema msanii namba moja wakike bongo......umeongea kituko kimoja matata......zuchu hafukii hata robo ya watu kama ruby na nandy.....hasa katika upande wa kipaji na fan base
Mkuu haupo serious..Yani we jamaa inaonekana hata muziki huufahamu......hivi nikuulize....mtafute mtu anaeufahamu mziki afu muulize vizuri kuhusu habari ya ruby......
Nikupe siri ya mafanikio ya Diamond ni Kikwete Ali be a ajabu. Zuchu si unajua mama yake nani? Naishia hapoDiamond alikataliwa THT look at him now
Nyota nyota nyota uwa hazifichiki.
Ila na nyi ma CCM bana... Yani kwa vile mwenyekiti kamuelewa tu basi na nyi mnaanadamana...!!
Kasungura tope tu akoIli msanii uwe superstar kuna vitu vitatu vya muhimu kuwa navyo.
1. Kipaji
2. Nyota
3. Connection
Ukikosa vyote basi walau uwe na viwili kati ya hivyo na kitu Nyota usikikose.
Msanii mpya kabisa lakini aliyeweza kupenya kwenye mioyo ya kila mtanzania hapa namzungumzia Zuchu yeye amejaliwa vyote vitatu yani nyota, connection na kipaji.
Hakuna ubishi Zuchu ndio msanii namba moja wa kike kwa sasa hapa bongo.
Na moja ya sababu ya kuteka industry ya muziki ni kujaliwa nyota kali. Nyota ya Zuchu inataka ifanane na ya kiongozi wake Diamond Platnumz.
Kuna vitu tutaendelea kuvishuhudia kutoka kwake na vitatushangaza. Tutabaki tunajiuliza kwa nini yeye lakini tusipate majibu, ndio namna nyota nzuri zinavyotokea.
Zuchu kama Zuchu ni supastaa. View attachment 1503990View attachment 1503991
Sio picha tuYupo vizuri baada ya kumaliza kuperform mhe Jakaya kikwete akaomba kupiga nae picha.