Zuchu ana nyota kali sana (Female version of Diamond)

Zuchu ana nyota kali sana (Female version of Diamond)

Yaani huyu mtoto Zuchu we acha tu....unamfananishaje na Ruby?!!!

Hata tu uzuri wa looks hawafanani......

Chengine huyu mtoto ni kipaji chake maridhawa na jinsi HISIA za muziki wake zinavyoendana na GESTURES yaani namkubali Sanaaaaa.

Wanaomkubali km mm would you pls put your like here!
Yawekana hapa najibizana na watu wasio ujua muziki kabisa aiseee....yn katika uwezo wa kuimba unamfananisha Ruby na Zuchu!!!!???? Yani Ruby na Zuchu washuke mic hapa waimbe live!!!???? Unasemajeee weeee......hivi we Ruby unaemzungumzia ni yupi kwani.....
 
Yawekana hapa najibizana na watu wasio ujua muziki kabisa aiseee....yn katika uwezo wa kuimba unamfananisha Ruby na Zuchu!!!!???? Yani Ruby na Zuchu washuke mic hapa waimbe live!!!???? Unasemajeee weeee......hivi we Ruby unaemzungumzia ni yupi kwani.....
Mbona nimegusia mengi juu Yao.....

Mafanikio ni zaidi ya kipaji pekee.....
 
Zuchu is the hottest female artist kwa sasa..

Nyimbo zake ndizo zinaongoza kuwa streamed kwenye online media platforms zote kwa wasanii wa kike tangia ametoka.

Anakuja kwa kasi sana, siku atakapoachia collabo yake na Diamond ndiyo itakayokuwa mazishi kwa all female singers Tz.

Na ndiyo siku atakayoingia nambari 1 rasmi...
 
Zuchu is the hottest female artist kwa sasa..

Nyimbo zake ndizo zinaongoza kuwa streamed kwenye online media platforms zote kwa wasanii wa kike tangia ametoka.

Anakuja kwa kasi sana, siku atakapoachia collabo yake na Diamond ndiyo itakayokuwa mazishi kwa all female singers Tz.

Na ndiyo siku atakayoingia nambari 1 rasmi...
Yaani we jamaa ndo nyinyi mnaoelewa umuhimu wa kunywa maziwa,Sasa umeona jinx unavyoyatema madini😁😁
 
Hahahah nimecheka hadi bas lol, kwahyo kuwepo Doodoma na kuvaa vazi la chama fulani, na kupiga picha na mwenyekiti mstaafu bas n msanii mkubwa?
Mweeeeeeeeh kweli mashabiki wa WCB n mbululaz. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hebu nitajie msanii wa kike hapa bongo anaemzidi ruby katika uwezo wa kuimba hapa Bongo

Ulikua na point nzuri mwanzoni nikatamani kukuunga mkono, ulipofika hapa ukaniaibisha na mimi tena.

Lakini kwa kifupi Rubby ni msanii mkali sana, tatizo ni watu waliomuibua ni wabaguzi na alipokosana nao akashindwa tena kusimama imara.
 
Zuchu is the hottest female artist kwa sasa..

Nyimbo zake ndizo zinaongoza kuwa streamed kwenye online media platforms zote kwa wasanii wa kike tangia ametoka.

Anakuja kwa kasi sana, siku atakapoachia collabo yake na Diamond ndiyo itakayokuwa mazishi kwa all female singers Tz.

Na ndiyo siku atakayoingia nambari 1 rasmi...

Punguza mahaba mzee, kama unafanya kwa promo ni sawa, lakini kama unajaribu kutuelezea uhalisia unakosea sana. Mimi nastream Audiomack, Boomplay na Tidal, baada ya ile EP yake na kelele kibao niliipakua, niliisikiliza mara moja nikafuta.
Hana mtindo maalumu wa muziki anaoimba, haijulikani ni Bongofleva ama taarabu, hana ufundi wa kucheza na sauti anapanda na kushuka bila kufuata taratibu za muziki.
Kamsikilize Jaydee akiamua kuimba, ama Rubby alietajwa hapo juu (kama utasikiliza bila upendeleo utagundua tofauti)
 
Umesahau ni wakike na ni kabint kazur tu nenda kamuulize Vanessa mdee anajua kwa undan izi mambo au unasifia kwa kupendwa na wazee wa ccm umesahau wazee wao ni wazee wa dogo dogo
 
Back
Top Bottom