Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
[emoji85][emoji85][emoji849]kwasababu yupo overrated
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji85][emoji85][emoji849]kwasababu yupo overrated
Kivip unasema ninalipwa?We jamaa huwa unalipwa sh ngapi na WCB?
[emoji85][emoji85][emoji849]
ID mbili zote za niniKivip unasema ninalipwa?
Hizo Ni ID mbili tofauti kabisa labda kilichokuchanganya hapo Ni Hilo jina la independent hata ukichuguza zaidi muandiko wangu na huyo jamaa Ni vitu viwili tofauti me ni wa hoja nzito a.k.a mzee wa fact huyo mwingine Ni mropokaji.ID mbili zote za nini
😄😄😄Hizo Ni ID mbili tofauti kabisa labda kilichokuchanganya hapo Ni Hilo jina la independent hata ukichuguza zaidi muandiko wangu na huyo jamaa Ni vitu viwili tofauti me ni wa hoja nzito a.k.a mzee wa fact huyo mwingine Ni mropokaji.
Hizo Ni ID mbili tofauti kabisa labda kilichokuchanganya hapo Ni Hilo jina la independent hata ukichuguza zaidi muandiko wangu na huyo jamaa Ni vitu viwili tofauti me ni wa hoja nzito a.k.a mzee wa fact huyo mwingine Ni mropokaji.
Numbisa natangaza rasmi kusudio la kukuchumbia🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 ama kweli nyani haoni takole
vijana wa dar [emoji23][emoji23][emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] ama kweli nyani haoni takole
Mbona unaweka dude langu hapa sasa
Mbona unaweka dude langu hapa sasa
That's not who you're 😢😢😢
Yes. Everyone got a bad side. But don't let it sallow that good part of you.
Don't show it Unnecessary
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ni ID zako zoteeh, sema unajitofautisha kweny uropokaji na facts. Aaaaaaaa weeeeHizo Ni ID mbili tofauti kabisa labda kilichokuchanganya hapo Ni Hilo jina la independent hata ukichuguza zaidi muandiko wangu na huyo jamaa Ni vitu viwili tofauti me ni wa hoja nzito a.k.a mzee wa fact huyo mwingine Ni mropokaji.
Huo ndio utofauti Sasa na ndiobatakachokuja kuwazidia wenzie,,Huyo anaimba unashindwa kuelewa ni taarab au bongo fleva?
Sa unachobisha Ni nn kwahy we kufuta ndio nawengine tumefuta angalia number of streams utajua Ni nn jamaa kasema amewazid wasanii wa kike wote na hata YouTube subscribers anaowengi Kama sio wa kwanza kwa wasichana Basi wa pili na ndiye msanii pekee wa kike afrika kupata YouTube award ndani ya muda mfupi tu kwa kufikisha sub..bers 100KPunguza mahaba mzee, kama unafanya kwa promo ni sawa, lakini kama unajaribu kutuelezea uhalisia unakosea sana. Mimi nastream Audiomack, Boomplay na Tidal, baada ya ile EP yake na kelele kibao niliipakua, niliisikiliza mara moja nikafuta.
Hana mtindo maalumu wa muziki anaoimba, haijulikani ni Bongofleva ama taarabu, hana ufundi wa kucheza na sauti anapanda na kushuka bila kufuata taratibu za muziki.
Kamsikilize Jaydee akiamua kuimba, ama Rubby alietajwa hapo juu (kama utasikiliza bila upendeleo utagundua tofauti)
Just imagine angekuwa anpata airtime in all media platforms Tanzania si ingekuwa kihama yule mtoto ananyota Kali sana we subir watakili wenyewe mwanzon walianza kusema Ni muimba taarab alipotoa quarantine wa2 hawakuamin kaimba kwenye huu wa ccm ndio kabisaa kawauaUnaposema ni wa kawaida unatumia vigezo gani?
Kumbuka mtu unayesema anafanyiwa promo ni msanii ambaye ndio kwanza ametoka na anasikika katika media kubwa moja tuu(Wasafi media) , media nyingine zote kubwa hazimchezi at the same time kuna wasanii wa kike nyimbo zao zinapigwa media zote kubwa sasa sijui kati ya Zuchu na wasanii wengine wa kike nani anayefanyiwa the so called promo
kuna kipi kiba anamzidi harmo? kuanzia pesa hadi namba kupitia platform zinambeba harmo mbele ya kiba, sema kiba kinachombeba ni ule u-team bt ukifuata uhalisia wa namba kiba ni msanii no4 kwa sasa.Doh! tuache unafiki jamani Zuchu niwakawaida sana sema sehemu alipo panambeba hata Harmonize alipokuwa wcb alionekana mkali zaidi ya kiba sasahivi amekuwa wakawaida
Hana Nyota huyo!! Anatembelea beat ya mama yake na Kiki za Domo.Ili msanii uwe superstar kuna vitu vitatu vya muhimu kuwa navyo.
1. Kipaji
2. Nyota
3. Connection
Ukikosa vyote basi walau uwe na viwili kati ya hivyo na kitu Nyota usikikose.
Msanii mpya kabisa lakini aliyeweza kupenya kwenye mioyo ya kila mtanzania hapa namzungumzia Zuchu yeye amejaliwa vyote vitatu yani nyota, connection na kipaji.
Hakuna ubishi Zuchu ndio msanii namba moja wa kike kwa sasa hapa bongo.
Na moja ya sababu ya kuteka industry ya muziki ni kujaliwa nyota kali. Nyota ya Zuchu inataka ifanane na ya kiongozi wake Diamond Platnumz.
Kuna vitu tutaendelea kuvishuhudia kutoka kwake na vitatushangaza. Tutabaki tunajiuliza kwa nini yeye lakini tusipate majibu, ndio namna nyota nzuri zinavyotokea.
Zuchu kama Zuchu ni supastaa. View attachment 1503990View attachment 1503991