Zuchu ana nyota kali sana (Female version of Diamond)

Zuchu ana nyota kali sana (Female version of Diamond)

Zuchu is the hottest female artist kwa sasa..

Nyimbo zake ndizo zinaongoza kuwa streamed kwenye online media platforms zote kwa wasanii wa kike tangia ametoka.

Anakuja kwa kasi sana, siku atakapoachia collabo yake na Diamond ndiyo itakayokuwa mazishi kwa all female singers Tz.

Na ndiyo siku atakayoingia nambari 1 rasmi...
Doh! tuache unafiki jamani Zuchu niwakawaida sana sema sehemu alipo panambeba hata Harmonize alipokuwa wcb alionekana mkali zaidi ya kiba sasahivi amekuwa wakawaida
 
Doh! tuache unafiki jamani Zuchu niwakawaida sana sema sehemu alipo panambeba hata Harmonize alipokuwa wcb alionekana mkali zaidi ya kiba sasahivi amekuwa wakawaida
mbona hiyo sehemu haimmbebi Queen Darleen ?
 
Ata queen darleen ana connection [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanafosi tu iyo ni povu la koka
 
Ukisikia overrated una elewa nini?
Huwezi ukasema Ni overrated wakati ngoma zake zinafanya vizuri kitaani mpaka kwenye mauzo ya mziki mfano mzuri audiomack na kingine ukitaka kujua huyo dada sio overrated angalia hiyo show yake atakavyojaza watu.
 
Huwezi ukasema Ni overrated wakati ngoma zake zinafanya vizuri kitaani mpaka kwenye mauzo ya mziki mfano mzuri audiomack na kingine ukitaka kujua huyo dada sio overrated angalia hiyo show yake atakavyojaza watu.
We jamaa huwa unalipwa sh ngapi na WCB?
 
Back
Top Bottom