Tetesi: Zuchu & Damond , New Couple In Town...

Tetesi: Zuchu & Damond , New Couple In Town...

Mmh Ila mbea mimi niliona tu hii movie kwa mbali , huyu domo amsainishe msanii wa kike kwenye label yake halafu amuache thubutu... nasikia bidada kutwa kushinda kwenye hekalu la Mbez beach, muda wote wako na domo, nasikia Mama dangote anataka mwanae amuoe zuchu, kisa et wanaendana na zuchu ana tabia nzuri , khadija kopa nae nasikia anampigia pande mwanae kwa domo.

Kusema kweli kwa level ya Diamond wanawake aliotakiwa kuwa nao it’s either Zari au Tanasha, atleast they can help him to kupandisha career yake Coz wale mademu wako na exposure na mambo ya ulimwengu wa kisasa, ila hawa wengine wanamtumia tu Domo ...

Zuchu nae sio mbaya kwa kweli, na kana sauti nzuri , kana mvuto wake wa asili ila kwa Diamond hapana kwa kweli , labda kama domo kaamua kurudi uswahilin maana ndo madem aliokua nao toka zaman huenda kawazoea , ila I cant see their relationship anywhere, huyo zuchu anachokitafuta atakipata... haoView attachment 1439360


Sent from my iPhone using JamiiForums
Diamond anaweza kuwa the most successful artist in Tanzania but doesn't class at all. Deep down bado ni mtoto wa tandale.
 
Nikashangaa mbona promo limekua kubwa sana Kumbe Promo lilichagizwa na kupigwa miti

Toka kwa Zari, Hamissa, Tanasha mpaka Kwa Zuchu flat [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂😂😂
 
Mmh Ila mbea mimi niliona tu hii movie kwa mbali , huyu domo amsainishe msanii wa kike kwenye label yake halafu amuache thubutu... nasikia bidada kutwa kushinda kwenye hekalu la Mbez beach, muda wote wako na domo, nasikia Mama dangote anataka mwanae amuoe zuchu, kisa et wanaendana na zuchu ana tabia nzuri , khadija kopa nae nasikia anampigia pande mwanae kwa domo.

Kusema kweli kwa level ya Diamond wanawake aliotakiwa kuwa nao it’s either Zari au Tanasha, atleast they can help him to kupandisha career yake Coz wale mademu wako na exposure na mambo ya ulimwengu wa kisasa, ila hawa wengine wanamtumia tu Domo ...

Zuchu nae sio mbaya kwa kweli, na kana sauti nzuri , kana mvuto wake wa asili ila kwa Diamond hapana kwa kweli , labda kama domo kaamua kurudi uswahilin maana ndo madem aliokua nao toka zaman huenda kawazoea , ila I cant see their relationship anywhere, huyo zuchu anachokitafuta atakipata... haoView attachment 1439360


Sent from my iPhone using JamiiForums

Mti mchanga matunda yake ni matamu hasa matunda mchomoko yanayoangazia kwa malaika wa kaya
 
Nikashangaa mbona promo limekua kubwa sana Kumbe Promo lilichagizwa na kupigwa miti

Toka kwa Zari, Hamissa, Tanasha mpaka Kwa Zuchu flat [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hakuna cha bure mjini


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mahusiano,kupenda,kupendwa hayaangalii mtu yuko level gani hao wa viwango mbona hakuwaoa Chibu ataoa Mwanamke wa kawaida sana sio hao wa kiki.

Kweli lakini


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hivi ww ni jinsia ya Ke samahani lakini.

Ata tanasha, zari nao walianzia uko uko uswazi na kuwa stars ni kitu cha kawaida tu na pesa ndo inaongea
 
Wewe ni mwanga tena unawanga mchana kweupe, aliye kwambia mwanaume anaoa au anadate na mwanamke ili aendeleze career yake nani? Mapenzi hayahusishwi na kitu chochote.

Yule ni Msanii lazima aangalie partner wa kuwa nae watakaesaidiana idea tofauti binamu ukizingatia Diamond hajasoma na hana exposure sana so akioa mtu ambaye hana elimu kama yeye na exposure kidogo Itakua issue


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kama ni kweli na harusi ikiwadia Mama D na Khadija Kopa sijui nani amemzidi mwenzake Uswahili.

Khadija kopa shangingi la miaka hiyo , mama domo ushangingi kaanza juzi baada ya mwanae kupata pesa... sasa hiv nasikia mashoga hatar ila soon watakuja kugombana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Diamond anaweza kuwa the most successful artist in Tanzania but doesn't class at all. Deep down bado ni mtoto wa tandale.

True that , you can’t change your root


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Khadija kopa shangingi la miaka hiyo , mama domo ushangingi kaanza juzi baada ya mwanae kupata pesa... sasa hiv nasikia mashoga hatar ila soon watakuja kugombana


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ingependeza mama D arudi Tandale awe jirani na mkwe wake pale Mwananyala.
 
Back
Top Bottom