Tetesi: Zuchu & Damond , New Couple In Town...

Tetesi: Zuchu & Damond , New Couple In Town...

Khadija kopa shangingi la miaka hiyo , mama domo ushangingi kaanza juzi baada ya mwanae kupata pesa... sasa hiv nasikia mashoga hatar ila soon watakuja kugombana


Sent from my iPhone using JamiiForums
Vita za hawa wakigombana huwa wanaacha a big mess, noisy, damages and casualties kubwa mno
lkn pia kuna kitu nakiona kwa mama ndomo..
huwa naona hapendi mademu wa mwanae ambao wamemzidi na hawezi kuwa-control...
 
Ukioa janamke zee likelihood ya kugombana mara kwa mara na breakout ni kubwa....
lkn ukioa kadogo dogo unakachorea KATIBA tu kanaifata no harm...
kuoa nako ni kazi ya sanaa/artistic work
 
Vita za hawa wakigombana huwa wanaacha a big mess, noisy, damages and casualties kubwa mno
lkn pia kuna kitu nakiona kwa mama ndomo..
huwa naona hapendi mademu wa mwanae ambao wamemzidi na hawezi kuwa-control...

Tanasha alielezea hii kwa enterview... huyu Mama asipokufa ( Mungu nisamehe) Diamond hawez kuonga abadan.... anapenda sana kuwa incharge na mahusiano ya mwanae


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Zuchu ni chombo original kile, usifananishe na wale made in China wengine ukifukia mashimo mara mbili tu tank linaanza kuvuja oil.

Zuchu nae mpaka kafikia kuwa staa, lazima kachimbwa sana mbele na nyuma , wote ndo wale wale tu ..


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mmh Ila mbea mimi niliona tu hii movie kwa mbali , huyu domo amsainishe msanii wa kike kwenye label yake halafu amuache thubutu... nasikia bidada kutwa kushinda kwenye hekalu la Mbez beach, muda wote wako na domo, nasikia Mama dangote anataka mwanae amuoe zuchu, kisa et wanaendana na zuchu ana tabia nzuri , khadija kopa nae nasikia anampigia pande mwanae kwa domo.

Kusema kweli kwa level ya Diamond wanawake aliotakiwa kuwa nao it’s either Zari au Tanasha, atleast they can help him to kupandisha career yake Coz wale mademu wako na exposure na mambo ya ulimwengu wa kisasa, ila hawa wengine wanamtumia tu Domo ...

Zuchu nae sio mbaya kwa kweli, na kana sauti nzuri , kana mvuto wake wa asili ila kwa Diamond hapana kwa kweli , labda kama domo kaamua kurudi uswahilin maana ndo madem aliokua nao toka zaman huenda kawazoea , ila I cant see their relationship anywhere, huyo zuchu anachokitafuta atakipata... haoView attachment 1439360


Sent from my iPhone using JamiiForums

Kwa watu wanaojua mwanamke wa kuoa na kuweka ndani Zuchu ni sahihi yeye ni wife material
 
Kwa watu wanaojua mwanamke wa kuoa na kuweka ndani Zuchu ni sahihi yeye ni wife material

Kweli lakini sio kwa Domo , yule hata malaika kwake ana kasoro, Sijui anatakag mwanamke wa aina gan


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Zuchu nae mpaka kafikia kuwa staa, lazima kachimbwa sana mbele na nyuma , wote ndo wale wale tu ..


Sent from my iPhone using JamiiForums

Aiseeeeer


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Weka picha ilo hekalu la mbezi beach tulione,amepanga au amejenga/amenunua?
 
Swadakta tu kama ni kweli,hivyo viumbe tumeumbiwa sisi wanaume
 
Back
Top Bottom