Wewe umewahi kuona wanamahusiano au hiyo Ni hisia za mtoa mada? Tofauti na mtoa mada hiyo tetesi umesikia wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umewahi kuona wanamahusiano au hiyo Ni hisia za mtoa mada? Tofauti na mtoa mada hiyo tetesi umesikia wapi?
Kwahiyo unamuonea wivu unataka uchukue nafasi ya huyo noelHeeeeh binamu Kwan nawee hukujua lol, ndio huyo bibie Noela Ndale
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna vitu inapaswa utafakari kabla ujaamini kitu ushahidi upi mtoa mada kautoa kuonesha mondi ana uhusiano na huyo binti?Huyu mondi anataka kumfundisha michezo mibaya mtoto wa watu.
Halafu haka kademu mimi sioni uzuri wake ukiondoa makeup na manywele ndo balaa kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nikashangaa mbona promo limekua kubwa sana Kumbe Promo lilichagizwa na kupigwa miti
Toka kwa Zari, Hamissa, Tanasha mpaka Kwa Zuchu flat [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Labda ana Papuchi Tamu Zile zinazovuta na kufinyia ndani, Domo Mzee wa pekupeku atakapiga mimba kazae katelekezweHalafu haka kademu mimi sioni uzuri wake ukiondoa makeup na manywele ndo balaa kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila wanasemaga eti kipenda roho
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana ustar Gani? Huyo ni Guruguja mmoja tu limbukeni hao akina Zuchu ndo Viwango Vyake..Diamond kwa ustaa wake sjui kwanini bado anachukua chukua hivi videm vya bongo??
Ilitakiwa awe na mtoto flani mkalii kutoka Colombia uko au achukue super model kutoka viunga vya Los Angeles
Acha kupanicAna ustar Gani? Huyo ni Guruguja mmoja tu limbukeni hao akina Zuchu ndo Viwango Vyake..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuunga mkono kwa asimilia 💯 ila siamini kweli diamond anaweza kutoka kimapenzi na Zuchu.Diamond kwa ustaa wake sjui kwanini bado anachukua chukua hivi videm vya bongo??
Ilitakiwa awe na mtoto flani mkalii kutoka Colombia uko au achukue super model kutoka viunga vya Los Angeles
Sijui unapoongelea exposure umeegemea kwa upande upi?Yule ni Msanii lazima aangalie partner wa kuwa nae watakaesaidiana idea tofauti binamu ukizingatia Diamond hajasoma na hana exposure sana so akioa mtu ambaye hana elimu kama yeye na exposure kidogo Itakua issue
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nimekupenda bure, tupende vya kwetu wa viwango kwanza afrikast sio kitu cha kibantu by natural, alafu watoto wanapotea wanaenda mbali na bongo.Mahusiano,kupenda,kupendwa hayaangalii mtu yuko level gani hao wa viwango mbona hakuwaoa Chibu ataoa Mwanamke wa kawaida sana sio hao wa kiki.
Ila Diamond konyo sana! Anasukuma tu steki! Mpira hatumii..
Ila Zuchu ni chombo!
Sent from my iPhone using Tapatalk
Zuchu nae mpaka kafikia kuwa staa, lazima kachimbwa sana mbele na nyuma , wote ndo wale wale tu ..
Sent from my iPhone using JamiiForums