Srinivan Ramanujan
Senior Member
- Nov 1, 2019
- 159
- 202
nani kakudanyanya wewe? Domo alivyokuwa tandale mwanamke gani alikuwa nyuma yake? nyie ni chuma ulete tu.Nyuma ya mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nani kakudanyanya wewe? Domo alivyokuwa tandale mwanamke gani alikuwa nyuma yake? nyie ni chuma ulete tu.Nyuma ya mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke!
mama yake.nani kakudanyanya wewe? Domo alivyokuwa tandale mwanamke gani alikuwa nyuma yake? nyie ni chuma ulete tu.
Huyo dada kasoma ana degree teyari ila kuhusu kuwa na uhusiano na diamond hiyo Ni chai eiseeYule ni Msanii lazima aangalie partner wa kuwa nae watakaesaidiana idea tofauti binamu ukizingatia Diamond hajasoma na hana exposure sana so akioa mtu ambaye hana elimu kama yeye na exposure kidogo Itakua issue
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nyuma ya Mafanikio ya wanawake Kuna sponsormama yake.
Ondoa neno TETESI. Dai kishafunua uvungu kabla Zuchu hajaanza kuimba hapo, baada ya kuomba kujiunga WCB , alifunuliwa injini.Mmh Ila mbea mimi niliona tu hii movie kwa mbali , huyu domo amsainishe msanii wa kike kwenye label yake halafu amuache thubutu... nasikia bidada kutwa kushinda kwenye hekalu la Mbez beach, muda wote wako na domo, nasikia Mama dangote anataka mwanae amuoe zuchu, kisa et wanaendana na zuchu ana tabia nzuri , khadija kopa nae nasikia anampigia pande mwanae kwa domo.
Kusema kweli kwa level ya Diamond wanawake aliotakiwa kuwa nao it’s either Zari au Tanasha, atleast they can help him to kupandisha career yake Coz wale mademu wako na exposure na mambo ya ulimwengu wa kisasa, ila hawa wengine wanamtumia tu Domo ...
Zuchu nae sio mbaya kwa kweli, na kana sauti nzuri , kana mvuto wake wa asili ila kwa Diamond hapana kwa kweli , labda kama domo kaamua kurudi uswahilin maana ndo madem aliokua nao toka zaman huenda kawazoea , ila I cant see their relationship anywhere, huyo zuchu anachokitafuta atakipata... haoView attachment 1439360
Sent from my iPhone using JamiiForums
Amefanya makosa sana AME comment bila kumkumbusha numbisaNilikuwa nasubir kuona comment yakoooh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Jina halisi ni Zuhura.ZUCHU ni jina kamili ama kifupisho cha majina ama a.k.a?
Chombo ila sampuli za wanawake wa uswazi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ondoa neno TETESI. Dai kishafunua uvungu kabla Zuchu hajaanza kuimba hapo, baada ya kuomba kujiunga WCB , alifunuliwa injini.
Dai ndio inasemekana kamtoa BIKRA mtoto wa hadija kopa
TUNAKUVISHA BARAKOA NA KUKUPIGA SANITAIZA
Lile li askari liliniboa , Sijui liliishia darasa la pili, linaongea utumbo halaf anaona sifa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Zipi hizo?