cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 96,456 Reaction score 156,324 May 6, 2020 #141 Robidinyo said: [emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... [emoji23][emoji23] nn mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
Robidinyo said: [emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... [emoji23][emoji23] nn mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
warumi R I P Joined May 6, 2013 Posts 16,218 Reaction score 18,440 May 6, 2020 Thread starter #142 herman joshua said: hapa warumi naona kawa Matendo ya mitume kisa zuchu kushinda nyumbanni kwa boss wake ishakuwa tatzo kwan kiba aliwaoa akina Killi na k2ga..? Click to expand... Ahaha nimecheka eti matendo ya mitume[emoji23] Sent from my iPhone using JamiiForums
herman joshua said: hapa warumi naona kawa Matendo ya mitume kisa zuchu kushinda nyumbanni kwa boss wake ishakuwa tatzo kwan kiba aliwaoa akina Killi na k2ga..? Click to expand... Ahaha nimecheka eti matendo ya mitume[emoji23] Sent from my iPhone using JamiiForums
mfianchi Platinum Member Joined Jul 1, 2009 Posts 11,904 Reaction score 8,371 May 6, 2020 #143 Sky Eclat said: Kama ni kweli na harusi ikiwadia Mama D na Khadija Kopa sijui nani amemzidi mwenzake Uswahili. Click to expand... Tofauti mmoja ni betina na mwingine ni bonge nyanya,si ajabu wao washaongea tayari .
Sky Eclat said: Kama ni kweli na harusi ikiwadia Mama D na Khadija Kopa sijui nani amemzidi mwenzake Uswahili. Click to expand... Tofauti mmoja ni betina na mwingine ni bonge nyanya,si ajabu wao washaongea tayari .
W Wise E JF-Expert Member Joined May 10, 2019 Posts 952 Reaction score 1,016 May 8, 2020 #144 Dream Queen said: Zuchu ujitahidi kuzungusha kiuno hadi juu ya dari, umzalie mapacha watatu labda atatulia, ila uwe makini mke mwenzio Lokole ana wivu huyo balaaaa. Click to expand... duuu kwani lokole ni chakula ya broo
Dream Queen said: Zuchu ujitahidi kuzungusha kiuno hadi juu ya dari, umzalie mapacha watatu labda atatulia, ila uwe makini mke mwenzio Lokole ana wivu huyo balaaaa. Click to expand... duuu kwani lokole ni chakula ya broo