Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Yes Upo Sahihi...Nafikiri ni msanii na muimbaji
Ok nimekupata mkuuMnazareth Hamna Utofauti wa hivyo mzee. NI Propaganda Tu Hizo Na Twisting Ya Language.
Kwa hyo Ruby Ni Mwanamuziki mzuri Kumshinda Vee kwa sababu Ruby Ana sauti Kali kuliko Vee? Does that even make sense?
Ukiwa Mwanamuziki upende usipende utaingia tu kwenye Kundi La wasanii. Msanii ni general term comprising wachoraji, wachongaji, waigizaji, wanamuziki etc. Kwa hyo Uwezi Kuwa Mwanamuziki ukakataa Cheo Cha Usanii.
Both Vee na Ruby ni wanamuziki na wasanii utofauti ni Ile branding Tu na Fan base ambayo Vee Kamuacha Huyo Ruby A Mile Away.
Talking Of Sauti Kuna Wimbo Vee Kaimba Unaitwa "Never Ever" Opera Version kaicheki umetoka last year I think alafu utaona ye ni Mwanamuziki au msanii.
Vee is Underrated.
Mbona hadi sasa hakuna picha yake full? Mnaweka passport size mnadhani hapa ni ofisi ya uhamiaji?
Wekeni picha full.
Kumbe mdogo wangu unafuatilia music kama kaka yako mimiNdiyo hako, ile yenye tune ya wimbo wa "in the jungle the mighty jungle the lion sleeps tonight".
Zuchu amekuja kuwashika,kaeni mkao wa kulaView attachment 1413101
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah tafsiri ya kawaida ya mwanamuziki ni mtu anayeweza kuimba pamoja na kupiga ala za muziki mfano kinanda na gitaa ambaye kwa kiingereza huitwa musician, msanii ni artist na muimbaji ni singer.
Sana kaka, music is my therapy.Kumbe mdogo wangu unafuatilia music kama kaka yako mimi
Kati ya hawa wafuatao kuna musician ?Yeah tafsiri ya kawaida ya mwanamuziki ni mtu anayeweza kuimba pamoja na kupiga ala za muziki mfano kinanda na gitaa ambaye kwa kiingereza huitwa musician, msanii ni artist na muimbaji ni singer.
Alicia Keys Mucisian anapiga Piano na Drum pamoja na kuimba.Kati ya hawa wafuatao kuna musician ?
1. Chris Brown
2. Drake
3. Justin Timberlake
4. R Kelly
5. Alicia Keys
Sio yeye jamaa amefanya jocking
Good..!Yeah tafsiri ya kawaida ya mwanamuziki ni mtu anayeweza kuimba pamoja na kupiga ala za muziki mfano kinanda na gitaa ambaye kwa kiingereza huitwa musician, msanii ni artist na muimbaji ni singer.
Wote ni wanamuziki hapoKati ya hawa wafuatao kuna musician ?
1. Chris Brown
2. Drake
3. Justin Timberlake
4. R Kelly
5. Alicia Keys
Mods uwa wanakurupuka nashusha nondo za ugoko zinawauma wengi ni team Wcb[emoji3][emoji3]. Sometimes mamoderator wanavyofuta thread zako huwaga wapo sawa sababu UNAPAYUKA SANA.
Kweli lake mtu halimtapishi.Mods uwa wanakurupuka nashusha nondo za ugoko zinawauma wengi ni team Wcb