You nailed it!Ni personal point of views,
Out of topic, that's some nice ass view right there!
I'm satisfied.
Usimuhukumu maana wengi ndo tupo hivyo, utakuta mtu hali kitu fulani kwa sababu za kidini ila pombe na uzinzi kaweka mbele, unabaki kujiuliza labda kuna dhambi kubwa na ndogo (zinazosamehewa na zisizosamehewa)Angalia alivyovaa na kujiachia! Lkn ni huyu huyu Zuchu aliyekataa kufanya tangazo la pombe (siyo kunywa pombe) kwa madai kuwa ni kinyume cha matakwa ya dini yake.
Kungwi Sexless hajafurahishwa na undumila kuwili huu.
View attachment 2336885
Nadhani hizi dini tulizipokea vibayaUsimuhukumu maana wengi ndo tupo hivyo, utakuta mtu hali kitu fulani kwa sababu za kidini ila pombe na uzinzi kaweka mbele, unabaki kujiuliza labda kuna dhambi kubwa na ndogo (zinazosamehewa na zisizosamehewa)
Kabisa maana naona kama tunabagua dhambiNadhani hizi dini tulizipokea vibaya
Nini shida[emoji849][emoji849]
Hamna shidaNini shida
Mbon km sio yeye au macho yananihadaa na huo mstari wa pambizoAngalia alivyovaa na kujiachia! Lakini ni huyu huyu Zuchu aliyekataa kufanya tangazo la pombe (siyo kunywa pombe) kwa madai kuwa ni kinyume cha matakwa ya dini yake.
Kungwi Sexless hajafurahishwa na undumila kuwili huu.
Nani kasema kwamba kula kitimoto ni dhambi ila kua na wanawake 72 sio dhambi?Unawaambiaje na wanao ona kula kitimoto ni dhambi ila kuzin wanaona kawaida
HHuyo ni malaya tu kama malaya wengine!
Kitimoto ni mnyama wa Mungu muacheni jamani, tafteni mada zingineUnawaambiaje na wanao ona kula kitimoto ni dhambi ila kuzin wanaona kawaida
You nailed it!
Jamaa anafaidi sana