🤣🤣🤣🤣🤣Kanazidi kunona huko backyard... Nyama zinazidi kuwa laini kama supu ya mapupu... Ama kweli zikiingia mlango mwingine zinakuwa samadi bora sana [emoji7]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Kanazidi kunona huko backyard... Nyama zinazidi kuwa laini kama supu ya mapupu... Ama kweli zikiingia mlango mwingine zinakuwa samadi bora sana [emoji7]
[emoji16] tlWewe ndio wa kule au hii umecopy na kupaste
Hahahaaa! Wakristo sio wanafiki sio? Ndio maana mapadri hawaijui k inafananaje na masista wote ni mabikiraHakuna watu wanafiki kama hawa viunmbe wa kisslamu ...leo kuna sehemu wamekatataa condoma lakini wanaujaza na bandi sasa hata sijui
Lucifer alikuwa "mwanamuziki mkuu" huko mbinguni.Musician wote ni mawakala wa kuzimu
Waislamu wa Zanzibar ndiyo walivyo wanapiga vita makanisa wana ruhusu bar na madawa ya kulevya na bangi kula witi, wanajifanya wanapenda dini.Angalia alivyovaa na kujiachia! Lakini ni huyu huyu Zuchu aliyekataa kufanya tangazo la pombe (siyo kunywa pombe) kwa madai kuwa ni kinyume cha matakwa ya dini yake.
Kungwi Sexless hajafurahishwa na undumila kuwili huu.
Waislamu wanashida ya kufikiri yani wao bora uwajengee bar na guesst watavumilia lakini siyo kujenga kanisa karibu na makazi yao yaani hakuna jambo wanalo liogopa na wasilo penda kuwanalo karibu kama kanisa.Unawaambiaje na wanao ona kula kitimoto ni dhambi ila kuzin wanaona kawaida
Hivi makubazi ndiyo manini?Amewakilisha msimamo wa wazee makubazi.
Geuza Hilo neno kuanzia mwisho kuja mwanzo mkuu,utapata jibu.Hivi makubazi ndiyo manini?
Ha ha haaaaa akishageuza huo ugomvi mm sipo.Geuza Hilo neno kuanzia mwisho kuja mwanzo mkuu,utapata jibu.
😄😄😄 Nimeshajianda mkuu 😄😄Ha ha haaaaa akishageuza huo ugomvi mm sipo.