Zuchu, mdada anayeamini pombe tu ndiyo dhambi lakini siyo muziki na mavazi yasiyo na staha!

Zuchu, mdada anayeamini pombe tu ndiyo dhambi lakini siyo muziki na mavazi yasiyo na staha!

Tuonyeshe picha ya mbele ili tuthibitishe ni zuchu huyo
 
Ila wanawake wanavyofanywa wallahi...sijui wamekosea wapi
 
mleta mada wivu unamtesa. mind your own business kijana
 
Kwahio mzito Sexless hujafurahiswa na undumila kuwili wa Zuchumpaka umfungulia uzi au sio buanaaa?
 
.
JamiiForums1982326437.jpg
 
Angalia alivyovaa na kujiachia! Lakini ni huyu huyu Zuchu aliyekataa kufanya tangazo la pombe (siyo kunywa pombe) kwa madai kuwa ni kinyume cha matakwa ya dini yake.

Kungwi Sexless hajafurahishwa na undumila kuwili huu.

Waislamu wa Zanzibar ndiyo walivyo wanapiga vita makanisa wana ruhusu bar na madawa ya kulevya na bangi kula witi, wanajifanya wanapenda dini.
 
Unawaambiaje na wanao ona kula kitimoto ni dhambi ila kuzin wanaona kawaida
Waislamu wanashida ya kufikiri yani wao bora uwajengee bar na guesst watavumilia lakini siyo kujenga kanisa karibu na makazi yao yaani hakuna jambo wanalo liogopa na wasilo penda kuwanalo karibu kama kanisa.
 
Back
Top Bottom