Zuchu ndio msanii wa kike anaeongoza East Africa kwa subscribers YouTube

Huyu pimbi kafikia wapi kwenye zile tuzo ambazo alikua anaowaomba mashabiki wake mumpe shavu?
 
Zinauzwa bei gani na wengine wawe wananunua?
YouTube Views $27 - 5000

They are $5.20 per 1000 views. Minimum order of 5000 at a time. Mostly USA views.
After you place your order, you will send us the link to your youtube video.
Quantity is per 5000
1 = 5,000
2 = 10,000
3 = 15,000
4 = 20,000
5 = 25,000
.
.
10 = 50,000



By Clicking "Buy Views" you agree to the Terms and Conditions.

$27.00

X item(s)

Buy Views
 
YouTube Likes $15 per 1000

Start time: 0-24 Hours
Speed: 500-1000/ Day
Refill: 30 Days
YouTube Likes $15 per 1000
1 = 1000
2 = 2000
.
.
.
10 = 10,000



By clicking "Buy Youtube Likes" you agree to the Terms and Conditions.

$15.00
 
Youtube Custom Comments

If you are looking for custom comments to go along with your 5000 views, buy now.

Start time: 12 Hours
Speed: 1K+/ Day

High quality comments from aged accounts. Never drop. Lifetime warranty.

$20 Gets you 50 custom comments

You will send us the comments you would like, or you can choose random comments.

By Clicking "Buy Comments" you are agreeing to the Terms and Conditions.

$20.00

X item(s)

Buy Comments
 
Duh kumbe mpaka zile comments zinanunuliwa [emoji23] [emoji23]... Kweli ni biashara nzuri.

Kwa hiyo na YouTube nao wanawalipa watu wanaonunua views na comments?
 
Duh kumbe mpaka zile comments zinanunuliwa [emoji23] [emoji23]... Kweli ni biashara nzuri.

Kwa hiyo na YouTube nao wanawalipa watu wanaonunua views na comments?

Hakuna faida kubwa wanayopata kwenye fake views kwasababu wanatoa pesa kupata pesa


Ndio maana wasanii wengi hawafanyi hi michezo mara chache Sana ila pale Usafini Kuna vijana wapo kwaajili ya hiii kazi


Dunia inaenda kasi sana hata izi account za Twitter Instagram unazoziona zina-followes M1 M3 Kuna fake folllowes ndani yake. Ili waongeze ushawishi kwenye jamii
 
Achana nae Muongo huyo kwanza msanii hawezi kufanya biashara hiyo ya kipuuzi maana hao youtube wenyewe kwa maelezo ya Diamond viewers 1M wanalipa katiya laki 9 mpaka milioni 1 halgu linganisha na huyo jamaa anachosema kama msanii hajapata hasara.
Duh kumbe mpaka zile comments zinanunuliwa [emoji23] [emoji23]... Kweli ni biashara nzuri.

Kwa hiyo na YouTube nao wanawalipa watu wanaonunua views na comments?
 
Achana nae Muongo huyo kwanza msanii hawezi kufanya biashara hiyo ya kipuuzi maana hao youtube wenyewe kwa maelezo ya Diamond viewers 1M wanalipa katiya laki 9 mpaka milioni 1 halgu linganisha na huyo jamaa anachosema kama msanii hajapata hasara.
Nilikuwa namuinjoi tu, hakuna anachojua.
 
Mpingeni kwa hoja msimuite hajui kitu wakati ana evidence za akiandikacho,mahakamani watu wanafungwa hivi hivi hakimu anakwambia jiteteee unabaki kusema "haki ya mungu hakimu sijaiba mimi" hakimu anarudia tena mshatakiwa jiteteee mshtakiwa anarudia "hakimu mungu ananiona kama nakudanganya nife leo.

Hakimu anafunga utetezi anatoa hukumu,mshtakiwa utaenda jela kwa miaka mitano,ndio unaskia mtu akipiga ukunga kama kanyooshewa bastola.

Mnaomchora mwenzenu kuwa hajui kitu,wekeni data zenu kuthibitisha kuwa hajui kuliko nyie mnavyojua,acheni maneno maneno kama hamna hoja za kutetea mnachokiamini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…