Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Mm biblia mara nyingi jumapili ila kati kati ya wiki uongo maisha yananipeleka mpera mpera mwendo wa ngirikwamim kabla ya kulala hupenda kusoma mistari mifupi ya biblia kulingana na imani yangu
soma hata verse moja tu sio mbaya,,then badae utazoea utashangaa tu usiposoma moyo unakosa amaniMm biblia mara nyingi jumapili ila kati kati ya wiki uongo maisha yananipeleka mpera mpera mwendo wa ngiri
We unasubiri nini kimuoaZuchu hajajichubua, hajaweka kalio la plastic, hajachora tatoo, havuti shisha wala kunywa pombe
Ukimpata kama yeye Oa chap masta
View attachment 3014872
Mbona hujamuoa sasa kama anakuvutia hivyo?Zuchu hajajichubua, hajaweka kalio la plastic, hajachora tatoo, havuti shisha wala kunywa pombe
Ukimpata kama yeye Oa chap masta
View attachment 3014872
Mstari gn wa faraja Leo tuishi naosoma hata verse moja tu sio mbaya,,then badae utazoea utashangaa tu usiposoma moyo unakosa amani
Wafilipi 4:6-7Mstari gn wa faraja Leo tuishi nao
Weka hv wafilipi 4:4-8 ndo utaipata vzr concept yakeWafilipi 4:6-7
ni vema kabisa pia,,ila mimi niko na app ya bible kwaio kila siku asubuh wananipa mstari wa kuamka nao na jioni wa kulala nao😌😌Weka hv wafilipi 4:4-8 ndo utaipata vzr concept yake
Inapendeza sanani vema kabisa pia,,ila mimi niko na app ya bible kwaio kila siku asubuh wananipa mstari wa kuamka nao na jioni wa kulala nao😌😌
Zenye uti na gonorrhoea suguEnzi hizi kufa na upwiru ni maamuzi yako, zipo mpaka za bure.
Uskute huyu ndio fumbokhani mwenyeweAchana na fumbokhan yule 🤒😎
Kupanga ni kuchagua hazikosekani za hivyo.Zenye uti na gonorrhoea sugu
Yani mtu akiwa hajichubui basi ni wife material? Mtu anasema hadharani kuwaanatoa kinyume na maumbile tena kwa msanii mwenzie… bado unataka kuwambia watoto kuwa huyo ndio wife material? Mtu ambaye anataka akafanye operation ya maziwa ili yawe makubwa bado unawambia watoto huyo ni wife material?Zuchu hajajichubua, hajaweka kalio la plastic, hajachora tatoo, havuti shisha wala kunywa pombe
Ukimpata kama yeye Oa chap masta
View attachment 3014872
una ukaribu na zuchu mkuu ?Zuchu hata live anatukana sana bora maua hayo matusi yanskuwa kwenye sanaa.
Kiasi fulaniuna ukaribu na zuchu mkuu ?
wewe upwiru huna?hatuji ng'ooo kufeni na upwiru wenu kooni
siujui kwanzawewe upwiru huna?