Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah hadi medindsha alivolitamka vizuriAre u telling me what I think ur telling me?
Kilaza mmoja ATA comment" Yani wewe mwanaume mzima unafuatilia watoto wa kike" ?
Shaabash!!! mwanaume rijali naachaje kufuatilia watoto wa kike?
Namimi nimesikia hivyo.Mimi nilivyosikia amesema ''WEWE UNA MTAMBO WEWE'' hata hiyo sauti aliyoitoa ni anaonyesha jinsi alivyomnukuu msemaji.... Zuchu ni binti ambae amelelewa vizuri sidhani kama anaweza kutukana in public kama wengi wanavyodhani.
Wewe masikio yako yanasikia vizuri kuliko ya serikali?Mimi nilivyosikia amesema ''WEWE UNA MTAMBO WEWE'' hata hiyo sauti aliyoitoa ni anaonyesha jinsi alivyomnukuu msemaji.... Zuchu ni binti ambae amelelewa vizuri sidhani kama anaweza kutukana in public kama wengi wanavyodhani.
Wewe una mtambo wewe[emoji2][emoji2][emoji31]Are u telling me what I think ur telling me?
Kilaza mmoja ATA comment" Yani wewe mwanaume mzima unafuatilia watoto wa kike" ?
Shaabash!!! mwanaume rijali naachaje kufuatilia watoto wa kike?
View attachment 2056718