Shida kubwa iko kwenye aliyeedit na producer wa kipindi. Kipindi siyo live sasa kwanini aliacha hicho kipande?Wafungie TV nzima.
Very Unprofessional
Shida kubwa iko kwenye aliyeedit na producer wa kipindi. Kipindi siyo live sasa kwanini aliacha hicho kipande?
Mimi sijaelewa kwanini kwenye editing waliacha hilo neno. Au ndo mwendelezo wa yale yanayoimbwa kwenye nyimbo zao...Wasafi wana shida kubwa ya kuwa na watu makini kwenye media yao yani kila leo wao ndio wakuambiwa wambe radhi siku tatu na TCRA kila leo na sio wengine!
Kuna shida kubwa kwenye hii media ni kweli kabisa Zuchu alitukana nafikiri ni uchanga wa kuhojiwa au kuwambele ya Camera na hata waandaji na anaye hoji kuwa mchanga imechangia!
Marketing strategy yao nu kutaka kupata attention kwa njia za aina hii.Mimi sijaelewa kwanini kwenye editing waliacha hilo neno. Au ndo mwendelezo wa yale yanayoimbwa kwenye nyimbo zao...