Hongera sana dada kwa kufanya kitu ambacho moyo wako unakipenda na ni jambo jema kabisa. Watanzania ni wanafiki sana , wanamnanga utafikiri wao ni watenda mema sana. Sisi wakristu tunasema ''bwana kamawewe ungehesabu maovu yetu nani angesimama?''
Anajitahidi kutafita riziki kwa kipaji ambacho Mungu amemjalia na kaona atoe sadaka kwa kujenga nyumba ya kuabudu wewe unampangia cha kufanya?
Embu tuambie huo msikiti au kanisa unakosalia wewe unajua nani alijenga? wajua waliojenga pesa walipatia wapi? Majizi wengi, mafisadi, walarushwa, wafanya biashara haramu , watenda maovu mabalimbali wameacha nyumba zao wakfu kama sehemu ya vitubio vyao wewe sasa hivi unavitumia halafu unamnanga mtoto wa kike mdogo aliyekumbuka jambo jema. Tusubiriane siku ya mwisho ya hukumu BwanaYesu atakavyokuwa anawaumbua wanafiki