Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwisho alipata sh ngapi huko big braza? Acha uzushi hakulamba hata miahaha noma sana, ma-imam wako kimaslahi tu
Mwisho Mwampamba alijenga msikiti kwa fedha za 'bigi buraza' 😀
Yaani, sijaelewamwehu uyu dada uwo msikiti wataenda kuswali yeye na mbosso..muislamu yeyote mwenye akili timamu awezi kukanyaga kwenye uwo msikiti yani mtu achume pesa zake kwa kukatika viuno leo hii aje ajenge msikiti na watu waswali? asthagafirulah
Mkuu naomba uweke angalau hadithi ili na sisi tujifunzeWallah! Mtihani Sana misikiti ya aina hii ndiyo aliyoiamrishwa mtume ichomwe Moto...
Uislamu unataratibu zake tumewekewa sheria mpaka za kutoa zaka, zaka ipi inakubaliwa na zaka ipi inakataliwa mziki kwa dini ya kiislamu na mfundisho yake ni haramu, mwanamke kuacha maungo,nywele zake wazi ni haramu kwenye uislamu nikuulize wewe zuchu kazi yake ni nini? mziki si ndio na mziki kwenye uislamu ni haramu kwaiyo hela yote anayoichuma kutokana na kazi anayoifanya ni haramu alafu iyo hela leo hii ajengee msikiti narudia tena ni wehu na machizi ndio wataenda kuswal kwenye msikiti wake.Yaani, sijaelewa
Huo msikiti unaojengwa na "pesa za kukata mauno" unakua hauna milango au sakafu?
Wewe pesa zako za "harari" zime....... Nini?
Twende kuswali babyPesa za dhambi.