dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
bro bila makeup nina uhakika ni mbaya kama ukutatuseme ukweli, Domo kukojolea hapo anafaidi kweli kweli
mtoto bado mbichi kabisa, mileage < 5k
mbona naona ni kabichi ?bro bila makeup nina uhakika ni mbaya kama ukuta
just saying😅
ila kweli, nimemchungulia hapa si haba😅mbona naona ni kabichi ?
Utaona jinsi wimbo utakavyo trend😃🤣🤣🤣🤣🤣Kaniudhiii
Kampige nao ana stressX wangu katoa wimbo mbaya sana
Aisee 😂bro bila makeup nina uhakika ni mbaya kama ukuta
just saying😅
Hapo Sasa unajiongelea wewe,unanilazimisha kuupenda wimbo nisioupenda.....halafu wewe ndio Zuchu?mi nimemuandikia Zuchu we unaanza kulalamika.......Pole lknHao ndio wabongo wanalazimisha mawazo yao binafsi ya fanane na wengine unaweza ukakuta husicho kipenda ww wenzio wana kikimbilia.
Ila uzuri mziki wa siku hizi kama kitu kizuri utakiona kwenye views na hasa streaming kwenye digital platforms kwani huko ndipo kwenye ukweli.So hizo nyingine zinaweza kuwa chuki au mitizamo yako binafsi.
Kwa hiyo ww unawakilisha mtizamo wa jamii nzima?au kuna sehemu nimekulazimisha uupende.Hapo Sasa unajiongelea wewe,unanilazimisha kuupenda wimbo nisioupenda.....halafu wewe ndio Zuchu?mi nimemuandikia Zuchu we unaanza kulalamika.......Pole lkn