Zuchu uwezo anao mkubwa habebwi na lebo

Zuchu uwezo anao mkubwa habebwi na lebo

Mayu

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2010
Posts
7,621
Reaction score
12,505
Mwanzoni kabisa sikumuelewa kabisa nikiamini lebo ya wasafi inambeba
lakini kadri siku zinavyozidi kwenda naona kuna kipaji kikubwa na sauti ya kipekee yenye mahadhi ya kimwambao

Toka majuzi nasikiliza nyimbo mbili tu.....wa nandi NIBAKISHIE na wa zuchu NUMBER ONE

Nampenda sana Nandy lakini kwa Zuchu nimemuelewa zaidi kwenye huu wimbo

Anacho nifurahisha zaidi anamashairi flani hivi amazing na ninataarifiwa anatunga mwenyewe
 
Mwanzoni kabisa sikumuelewa kabisa nikiamini lebo ya wasafi inambeba
lakini kadri siku zinavyozidi kwenda naona kuna kipaji kikubwa na sauti ya kipekee yenye mahadhi ya kimwambao

Toka majuzi nasikiliza nyimbo mbili tu.....wa nandi NIBAKISHIE na wa zuchu NUMBER ONE

Nampenda sana Nandy lakini kwa Zuchu nimemuelewa zaidi kwenye huu wimbo

Anacho nifurahisha zaidi anamashairi flani hivi amazing na ninataarifiwa anatunga mwenyewe
Kama hujui mtunzi pale ni rayvan anawatungia wote asilimia kubwa hilo aliongea salam sk
 
Acha kutukana watu, wewe kama unapenda hiphop basi utakuwa mvuta bangi, mtumia madawa ya kulevya, mwendawazimu, tahira kidogo, mnywa gongo na machimpumu!! Usitake kuchagulia watu nyimbo za kusikiliza !!
Sawa ngoj nikavute bangi nawewe nenda ukasuke
 
Kama hujui mtunzi pale ni rayvan anawatungia wote asilimia kubwa hilo aliongea salam sk
Hacha hizo wew angalia utunzi wa rayvanny na mbosso ni tofaut kabisa
Utunzi wa rayvanny na zuchu ni tofaut kabisa hata mtu asiyejua mziki ukisikiliza hao watatu utajua wawili wanafanana utunzi ila rayvanny ni tofaut kabisa
 
Back
Top Bottom