Kama hujui mtunzi pale ni rayvan anawatungia wote asilimia kubwa hilo aliongea salam skMwanzoni kabisa sikumuelewa kabisa nikiamini lebo ya wasafi inambeba
lakini kadri siku zinavyozidi kwenda naona kuna kipaji kikubwa na sauti ya kipekee yenye mahadhi ya kimwambao
Toka majuzi nasikiliza nyimbo mbili tu.....wa nandi NIBAKISHIE na wa zuchu NUMBER ONE
Nampenda sana Nandy lakini kwa Zuchu nimemuelewa zaidi kwenye huu wimbo
Anacho nifurahisha zaidi anamashairi flani hivi amazing na ninataarifiwa anatunga mwenyewe
anaependa zuchu either ni mwanamke wa uswahilini,lesbian,Tansgeder au Shoga
Sawa ngoj nikavute bangi nawewe nenda ukasukeAcha kutukana watu, wewe kama unapenda hiphop basi utakuwa mvuta bangi, mtumia madawa ya kulevya, mwendawazimu, tahira kidogo, mnywa gongo na machimpumu!! Usitake kuchagulia watu nyimbo za kusikiliza !!
Acha wivuTofauti na ile hit song yake ya "wapinzani watetereke" ameimba nyimbo gani nyingine??
Acha dharau na kazi za watu.anaependa zuchu either ni mwanamke wa uswahilini,lesbian,Tansgeder au Shoga
Hacha hizo wew angalia utunzi wa rayvanny na mbosso ni tofaut kabisaKama hujui mtunzi pale ni rayvan anawatungia wote asilimia kubwa hilo aliongea salam sk
Dogo Inno vipi Esma anaendeleaje hapo hospital?Acha wivu
kuwa lesbian,Transgender,mwanamke wa uswahilin au gay ni kazi?Acha dharau na kazi za watu.