sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Msanii wa kike namba moja Africa ya mashariki na Kati supastaa Zuchu leo amechaguliwa kushindania tuzo ya MTV Europe music awards.
Ameingia kwenye kipengele cha best african act na mshindani wake mkubwa ni burna boi.
Sasa bila kuchelewa ingia kumpigia kura mwakilishi pekee wa east africa kwenye link hapa chini
Winners | MTV Europe Music Awards 2023
Full List of Winners | MTV Europe Music Awards 2023