Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
Jamaa ana michamboš ...Au ndio zuchu mwenyewe nini?Sawa shosti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa ana michamboš ...Au ndio zuchu mwenyewe nini?Sawa shosti
Tems ni essence nje ya hapo hana jipya, anatembelea essence ya kidayo mpaka leo.mtv EMA huwa wanapata wasanii wowote wale, hata zuchu anaweza kupata au wengine tofauti na burna na tems..
Ila internationally mwaka ni wa tems huu..
Kuwa co-writer wa album ya beyonce, kuimba theme song ya black Panther, kuingia billboards na hizo tuzo za BET..
Ila tumpigie kura zuchu mtanzania mwenzetu maana kuwa listed tu ni hatua kubwa kwake ššView attachment 2384939
Zuchu ana nafasi ya kuchukua, Kiba alichukua mbele ya WizKid.Kuwa shortlisted ktk hao magiant ina maana mziki wake umekua,umepenya na tayari ni mshindi. Kajitahidi anachofanya kinaonekana japo Tems anaweza kuchukua hiyo tuzo. Ila Zuchu tayari amesha prove that mziki wake umevuka boda na umefika mbali.
Wanawake ndio tulivyoJamaa ana michamboš ...Au ndio zuchu mwenyewe nini?
Kama unapenda mziki mzuri hebu nenda kasilikilize for my hand wa mnyama burnaboy ndo utajua kwa nn mm sina hata nyimbo moja ya hawa wabana puaBurna robot atamtambua mtoto wa kipemba, usimalize maneno.
Sikiza muziki mzuri usiopita kwenye umemeKama unapenda mziki mzuri hebu nenda kasilikilize for my hand wa mnyama burnaboy ndo utajua kwa nn mm sina hata nyimbo moja ya hawa wabana pua
HaisaidiiKura zangu kwa mzee wa kilometer
Kwa afrika ni hiyo essence na crazy tings ndio hits kubwa japo ana nyimbo nyingine kali tu.Tems ni essence nje ya hapo hana jipya, anatembelea essence ya kidayo mpaka leo.
Hukutakiwa kucomment huu UziUnaachaje kumshabikia mnyama burnaboy wa kilomi kilomi kilomitaaaa unaanza kumshabikia huyu dem mwimba taarabu?? Huu ushoga sasa
šÆZuchu anasauti nzuri ila sijawahi kuelewa Taarabu zake
Umeamua kumeza Kaa la moto.Sawa shosti
HowUmeamua kumeza Kaa la moto.
Ngoja nikampigie kura Burna Boy..View attachment 2384867
Msanii wa kike namba moja Africa ya mashariki na Kati supastaa Zuchu leo amechaguliwa kushindania tuzo ya MTV Europe music awards.
Ameingia kwenye kipengele cha best african act na mshindani wake mkubwa ni burna boi.
Sasa bila kuchelewa ingia kumpigia kura mwakilishi pekee wa east africa kwenye link hapa chini
![]()
Winners | MTV Europe Music Awards 2023
Full List of Winners | MTV Europe Music Awards 2023www.mtvema.com
Ukimpigia kura atapumbazika na kurelax kama ilivyokua kwa ray vanny na tuzo ya BET, diamond ni mituzo ya nje.. mziki wa zuchu bado sana kutoboa kwa level za kina tems..mtv EMA huwa wanapata wasanii wowote wale, hata zuchu anaweza kupata au wengine tofauti na burna na tems..
Ila internationally mwaka ni wa tems huu..
Kuwa co-writer wa album ya beyonce, kuimba theme song ya black Panther, kuingia billboards na hizo tuzo za BET..
Ila tumpigie kura zuchu mtanzania mwenzetu maana kuwa listed tu ni hatua kubwa kwake [emoji120][emoji120]View attachment 2384939