Diamond anaiba views na subscriber youtube na uchawi juu,juzi tu kakutwa na mailizi kibao na amewaloga sana nyie wafuasi wake hamjitambui mwambieni atoe mafuvu yale afisini kwake muone,huyo mchawi na miirizi yake,wewe umewahi kuona wapi msanii tz ana mwezi eti star mbona yeye alisota kuupata kabla hajaingia kwa sangomaaZuchu ana subscribers 501k ndani ya miezi sita, Nandy ana subscribers 520 k ndani ya miaka 6 [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pata picha mtoto Zuchu akitimiza mwaka.