Diamond anaiba views na subscriber youtube na uchawi juu,juzi tu kakutwa na mailizi kibao na amewaloga sana nyie wafuasi wake hamjitambui mwambieni atoe mafuvu yale afisini kwake muone,huyo mchawi na miirizi yake,wewe umewahi kuona wapi msanii tz ana mwezi eti star mbona yeye alisota kuupata kabla hajaingia kwa sangomaaZuchu ana subscribers 501k ndani ya miezi sita, Nandy ana subscribers 520 k ndani ya miaka 6 [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pata picha mtoto Zuchu akitimiza mwaka.
Kama Diamond anaiba viewers na subscribers kirahisi hivyo kwa nini wengine nao wasiibe ili wawe na subscribers wengi?Diamond anaiba views na subscriber youtube na uchawi juu,juzi tu kakutwa na mailizi kibao na amewaloga sana nyie wafuasi wake hamjitambui mwambieni atoe mafuvu yale afisini kwake muone,huyo mchawi na miirizi yake,wewe umewahi kuona wapi msanii tz ana mwezi eti star mbona yeye alisota kuupata kabla hajaingia kwa sangomaa
Wengine wanahofu ya mungu sio wachawi wenye iriziKama Diamond anaiba viewers na subscribers kirahisi hivyo kwa nini wengine nao wasiibe ili wawe na subscribers wengi?
Unauthibitisho gani kama hao wasanii wengine si wachawi pia..? Huyo diamond ulishawahi kumuona akienda kuroga au kwa mganga?Wengine wanahofu ya mungu sio wachawi wenye irizi
Leo ni November [emoji3][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]Maisha yako unayakosea mwenyewe oct 28 haiwezi badili ugumu wa maisha yako pambana mdogo wangu usishikwe maskio.
Blaza mbona Kama una hasira!Diamond anaiba views na subscriber youtube na uchawi juu,juzi tu kakutwa na mailizi kibao na amewaloga sana nyie wafuasi wake hamjitambui mwambieni atoe mafuvu yale afisini kwake muone,huyo mchawi na miirizi yake,wewe umewahi kuona wapi msanii tz ana mwezi eti star mbona yeye alisota kuupata kabla hajaingia kwa sangomaa
Jamaa unaimani za kishirikina sana. ni wazi umetokea familia ya waganga wa kienyeji na wachawi.Diamond anaiba views na subscriber youtube na uchawi juu,juzi tu kakutwa na mailizi kibao na amewaloga sana nyie wafuasi wake hamjitambui mwambieni atoe mafuvu yale afisini kwake muone,huyo mchawi na miirizi yake,wewe umewahi kuona wapi msanii tz ana mwezi eti star mbona yeye alisota kuupata kabla hajaingia kwa sangomaa
Watu Kama hao utakuta kimaisha hawana mbele Wala nyuma.Jamaa unaimani za kishirikina sana. ni wazi umetokea familia ya waganga wa kienyeji na wachawi.
Zuchu winsKwa leo story kubwa ni pambano linaloendelea uko YouTube kati ya Zuchu na Nandy.
Vipi wadau ikitokea Nandy kashindwa kumpita Zuchu mnadhani ndio itakuwa ushahidi kuwa Nandy ameshapotezwa na Zuchu? View attachment 1604185