Zuchu wa WCB ashukiwa kibabe na wanamizengo alimtuhumu Ustadh Kumdhalilisha huku akikumbushwa Mamayake kudhalilisha wakina mama

Zuchu wa WCB ashukiwa kibabe na wanamizengo alimtuhumu Ustadh Kumdhalilisha huku akikumbushwa Mamayake kudhalilisha wakina mama

Akae atulie mbona hayo madogo amuulize Wema amepitia mangapi
 
Na domo anakomba utamu wooote bado mapeema.
Mama yake mwenyewe hana hiyo heshima.
Yule mtoto wake marehemu punga omari amemlea pale mnyamala huku akichakazwa na mibasha hovyo hovyo mpk kuolewa.
Ustadh juma labda alipita humo ndo mana anawachambua.
Eti alikufa kwa miwaya?
 
Ikiwa ni saa chache baada ya Zuchu kupitia page yake ya Facebook aliwaeleza washabiki wake malalamiko zidi ya kudhalilishwa na ustadh Jumaa yeye na familia yake kuhusu kuruhusu kila wakati kushikwa nyeti na diamond pia kuvaa vichupi kinyume na maadili ya dini yake ya kiislam. Washakunaku walitupia maneno makali na wakimkumbusha jinsi mama yake alivyozalilisha wenzake kwa kusema yeye amezaa wengine wamekunya na alivyojidai kutoa mimba saba . Walimuonyq asiende maakamani naye avumilie yatapita kwa kuwa mama yake alivyotukana jamii naye hakushitakiwa.
Dah eti yeye amezaa wengine wamekunya. adriz mutu wangu umesikia hayo kutoka kwa ndugu zako?
 
Ikiwa ni saa chache baada ya Zuchu kupitia page yake ya Facebook aliwaeleza washabiki wake malalamiko zidi ya kudhalilishwa na ustadh Jumaa yeye na familia yake kuhusu kuruhusu kila wakati kushikwa nyeti na diamond pia kuvaa vichupi kinyume na maadili ya dini yake ya kiislam. Washakunaku walitupia maneno makali na wakimkumbusha jinsi mama yake alivyozalilisha wenzake kwa kusema yeye amezaa wengine wamekunya na alivyojidai kutoa mimba saba . Walimuonyq asiende maakamani naye avumilie yatapita kwa kuwa mama yake alivyotukana jamii naye hakushitakiwa.
bongo ina vichaa wengi sana , mtu asimshitak mtu kisa mama yake ana makosa ?
 
Back
Top Bottom