Tetesi: Zuhra Yunus ndiye Mkurugenzi mpya wa Azam TV

tatizo anaiponda Sana CCM kwenye taarifa zake, ajirekebishe
Khee, kama wamezidi ujinga wasifiwe tu?

Yan kwa mfano wajinga ccm mnavyoamini Magufuli hajafa anapiga kazi mnataka Zuhra naye aamini hivyo hivyo?
 
Huyu ilibidi awekwe pale TBC kuchukua nafasi ya Profesa uchwala aliyepo,lakini kwa vile serikali inapenda mijitu ya hovyo ya ndio Mzee,hawawezi kumchukua huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…