Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huyu mwanamke huwa hana Watoto?Hongera ngosha kupata chombo.
Nkwabi ni nani mkuuMkurugenzi wa mawasiliano ya Rais, Zuhura Yunus amefunga ndoa na Bw. Fumbuka Nkwabi.
Ndoa hiyo ilifungwa siku ya Alhamisi jijini Dar es salaam katika msikiti wa Maamur, Upanga.
Yawapendeze ili iweje. What thenSijui kwanini mavazi ya harusi ya waislamu huwa hayawapendezi.
Hao ndo binadam bwana,alivokua hajaolewa wanamsema kua haoelew,now kaolewa et kaolewa kufunika kombe. Kaz kwel kwelHuyu kaolewa tu kufunika kombe na nafasi ya kazi aliyopo hii ni kwa waliosomea Cuba.
Haswaaaah yaan.Huyu kaolewa tu kufunika kombe na nafasi ya kazi aliyopo hii ni kwa waliosomea Cuba.