Zuhura Yunus aolewa na Fumbuka Ng’wanakilala

Zuhura Yunus aolewa na Fumbuka Ng’wanakilala

Hii ndio Taarifa ya sasa mitandaoni , kwamba Msemaji wa Ikulu ya Tanzania , ambaye pia ni Mtangazaji wa zamani wa BBC , Zuhura Yunus , amefunga pingu za maisha na ndugu Fumbuka Nkwabi Mwanakilala .

Namfahamu Fumbuka , maana niliwahi kusoma naye mahali fulani , ni mtu poa sana na ni Mtulivu .

Tunawatakia Wanandoa hawa wapya kila la heri .
 
Hii ndio Taarifa ya sasa mitandaoni , kwamba Msemaji wa Ikulu ya Tanzania , ambaye pia ni Mtangazaji wa zamani wa BBC , Zuhura Yunus , amefunga pingu za maisha na ndugu Fumbuka Nkwabi Mwanakilala .

Namfahamu Fumbuka , maana niliwahi kusoma naye mahali fulani , ni mtu poa sana na ni Mtulivu .

Tunawatakia Wanandoa hawa wapya kila la heri .
Fumbuka ndio Nani mkuuu
 
Back
Top Bottom