Zuhura Yunus wa BBC Swahili, amesema maisha ya London Magumu huwezi hata kusevu

Hapo naona ameamua kuficha ukweli kuhusu maisha akiogopa ndugu watampiga vizinga

Maisha popote ni jinsi unavyojiwekea matumizi yako tu kama unataka kuweka hela na mshahara wa kawaida kama Β£30,000 kwa mwaka hapo ukipanga bajeti vizuri unaweza kujiwekea 2m mpaka 2.5m ya kibongo kwa mwezi

Kuhusu public transport ni punguzo pia kuliko mwenye gari ila unaweza kuwa na gari na ukabaki na savings pia

Kama utakuwa mtu wa matanuzi huwezi kutoboa hapa
 
Hili ndilo lingekata mzizi wa fitina. Ndio, waweza kutumia $3,000 kwenye bili kwa mwezi lakini unasevu $8,000 kila mwezi. Sasa hapo kuna tatizo gani? Hapa Bongo waweza kutumia Tsh milioni 1 kwenye bili kwa mwezi lakini unasevu milioni 1 kwa mwezi. Gharama za maisha ni juu London na mishahara nayo iko juu. Hapo BBC kuna watu wanalipwa mpaka Pound 200,000 kwa mwaka.
Huyo Salama hakumuuliza kuhusu mshahara anapokea sh, ngapi? ili tupime ugumu wa jiji la malkia?
 
Hapa ndo nimekumbuka ile concept ya CONSUMER PRICE INDEX (CPI). Yaan Tanzania Shilling ina thaman kuliko Sterling pound kwa kiasi kikubwa sana.
 
Ntoto wa Nchungaji bhana[emoji1787][emoji1787]
 
Hapa ndo nimekumbuka ile concept ya CONSUMER PRICE INDEX (CPI). Yaan Tanzania Shilling ina thaman kuliko Sterling pound kwa kiasi kikubwa sana.
TZS haiwezi kuwa na thamani kubwa kuliko Pound popote duniani hata kuzimu. Labda tuzungumzie kuhusu Purchasing Power Parity (PPP) kwa Pound ikiwa UK na equal value yake in TZS ukiwa Tanzania.
 
Inawezeka yapo juu Ila mshahara Ni mkubwa pia mwalimu wangu alisoma kule masters alisema kikombe Cha kahawa mjini London Ni sawa na elf 80,000 za kitanzania ...
Mwambie mwalimu wako aache urongo.80elfu labda kama ni kawaha ya dhahabu.
 
Inategemea unanunua wapi, nilinunua kawaha kwenye mgahawa mmoja pale mlimani city kakikombe buku5
Kwahio tunaweza kusema kikombe cha kahawa Dar ni 5,000/-?
 
Point.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kiinua mgongo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…