Zuhura Yunus wa BBC Swahili, amesema maisha ya London Magumu huwezi hata kusevu

Zuhura Yunus wa BBC Swahili, amesema maisha ya London Magumu huwezi hata kusevu

London maisha ni magumu sana sana hata wazungu wanapaogooa !!! Niliwahi kwenda UK nikaishi Hereford and Reading(spelling) kidogo maisha yapo chini!!! Nilimuuza mwenyeji wangu ambaye ni mwalimu akaniambia kipato chake kwa mwezi !!!!!! Kwetu ni kiimua mgongo!!!
 
Tafadhari tunaomba kujulishwa haya ili vijana tujipange kuvuta mke.
-Umri wake.
-Mawasiliano yake (simu, Twitter, Instagram nk)

Binafsi nimemwelewa fresh huyo Zuhura Yunus, yaani ninamkubali sana. WanaJF uniunge mkono, nikifanikiwa mtaona mrejesho.
Mimi nilisoma nae sekondari. Nilipe nikupe data zake
 
Kwa kumuangalia yule mimi nasema anamiaka zaidi ya arobaini
Possibly. Kasoma Weruweru na kumaliza (olevel?) 1994. Kimahesabu (kwa wakati huo), likely mwaka huo anamaliza alikuwa na miaka 17 - 19 hivi.
 
Back
Top Bottom