Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aliyekwambia mshahara tbc laki 7 nani??Mwambie aweke mshahara wake wa mwezi tulinganishe na hizo gharama.
Kama maisha ni magumu London mbona huwa hawarudi bongo , aje aajiriwe TBC apokee mshahara wa laki 7
Acha kelele weka mshahara wao hapaaliyekwambia mshahara tbc laki 7 nani??
Inawezeka yapo juu Ila mshahara Ni mkubwa pia mwalimu wangu alisoma kule masters alisema kikombe Cha kahawa mjini London Ni sawa na elf 80,000 za kitanzania ...
KIKOMBE CHA KAHAWA LONDON MJINI NI SH 80,000/= ZA KITANZANIA
Mimi nilisoma nae sekondari. Nilipe nikupe data zakeTafadhari tunaomba kujulishwa haya ili vijana tujipange kuvuta mke.
-Umri wake.
-Mawasiliano yake (simu, Twitter, Instagram nk)
Binafsi nimemwelewa fresh huyo Zuhura Yunus, yaani ninamkubali sana. WanaJF uniunge mkono, nikifanikiwa mtaona mrejesho.
Kwani Bi Zuhura ana umri gani?
TBC wangelipa mishahara ya laki 7, watangazaji wao wasingefutuka kiasi kile! Ni zaidi ya kunenepa!Mwambie aweke mshahara wake wa mwezi tulinganishe na hizo gharama.
Kama maisha ni magumu London mbona huwa hawarudi bongo , aje aajiriwe TBC apokee mshahara wa laki 7
Inawezeka yapo juu Ila mshahara Ni mkubwa pia mwalimu wangu alisoma kule masters alisema kikombe Cha kahawa mjini London Ni sawa na elf 80,000 za kitanzania ...
Possibly. Kasoma Weruweru na kumaliza (olevel?) 1994. Kimahesabu (kwa wakati huo), likely mwaka huo anamaliza alikuwa na miaka 17 - 19 hivi.Kwa kumuangalia yule mimi nasema anamiaka zaidi ya arobaini
Wakuu kubisha bisha tu haifai, inategemea hiyo kahawa alienda nunua sehemu ganiNa wewe ukaamini huo uongo [emoji3][emoji3]
Inategemea unanunua wapi, nilinunua kawaha kwenye mgahawa mmoja pale mlimani city kakikombe buku5Wakati huku 100 mpaka 200[emoji3][emoji3][emoji3]
Kasema ni mjini London [emoji3][emoji3]Wakuu kubisha bisha tu haifai, inategemea hiyo kahawa alienda nunua sehemu gani