Baraghash
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 2,713
- 1,790
Kuna tetesi kuwa "Mamlaka kuu" imezuia ndege ya kufanya utafiti wa kutafuta mafuta katika visiwa vya Zanzibar.
Inasemekana Rubani wa ndege hiyo alisema walishindwa kuanza kazi kutoka na kuzuia kwa madai kuwa hawana kibali cha kufanya kazi hiyo.
Mwenye taarifa kamili kuhusu ukweli wa kadhia hii auwasilidhe Mkekani ili tutaarifike
Inasemekana Rubani wa ndege hiyo alisema walishindwa kuanza kazi kutoka na kuzuia kwa madai kuwa hawana kibali cha kufanya kazi hiyo.
Mwenye taarifa kamili kuhusu ukweli wa kadhia hii auwasilidhe Mkekani ili tutaarifike