Hela zipo na hatulipi na hamuwezi kukata period.Mnazo ela za kurusha ndege ela za kulipa Tanesco hamna
Nchi yenu mamuzi yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hela zipo na hatulipi na hamuwezi kukata period.Mnazo ela za kurusha ndege ela za kulipa Tanesco hamna
Nchi yenu mamuzi yao
Wewe hujielewi ndege lazima ipate kibali cha kuruka kwenye nchi ambayo siyo yake, wewe unalalamika tu.Zanzibar Ni Nchi Kamili
Huyo Anayezuia Ni Nani?
Mkoloni Tanganyika Ama UN
Mbona mnapenda kuwalisha maneno yasiyo yao hawa wakuu.Dr Shein anasema Tanganyika hawawezi kukata umeme, na kama wanaweza wajaribu. Sasa hapo utamjua nani kidume, alotoa amri ukatwe au mzee Sheni