Zuio la mahindi kuingia Kenya, ni kwasababu makamu wa Rais anataka soko la mahindi yake

Zuio la mahindi kuingia Kenya, ni kwasababu makamu wa Rais anataka soko la mahindi yake

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191

Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, amedaiwa kuwa na shamba la mahindi hekari 500,000 nchini DR Congo, ambapo ametumia nguvu yake kisiasa kupata uhakika wa soko la mahindi yake

Baadhi ya wabunge wa DRC wamethibitisha hilo. Ili kupata soko la mahindi alilazimika kuzuia mahindi kutoka Tanzania na Uganda ili awe anaagiza kutoka DRC ambayo ni kutoka kwenye shamba lake

Kenya ilizuia mahindi ya Tanzania na Uganda kwa barua ya Machi 5, 2021 ambapo walitoa tuhuma kuwa mahindi hayo yana sumu kuvu na yamesababisha vifo vya Wakenya
 
Tz kuna watu wajinga sana, fikiria yule aliyejibu swali la Jiwe yuko wapi hahahaahaj
 
Dah!! Viongozi wa Kenya wanawatesa sana wananchi.
wakulima wa Tanzania waliteseka sana kwa kukosa soko.

Wakenya wala hawana tatizo lolote kama madukani bidhaa wanayoitaka ipo tena kwa bei ya wastan.

Nawahurumia sana Wakulima wa Tanzania maana kila kukitokea mtafaruku baina ya nchi hizi mbili, huwa wanagongwa kila upande.
 
Hizo ekari 500,000 DRC analimia pande gani za hiyo nchi, maana nchi yenyewe vurugu tupu.

Vv
 
Ekari 500,0000

Na congo hii iliojaa vikundi vya wapiganaji ?

Hizi ni hadithi za bulicheka
 
Wakenya bana,wananchi wao wanayahitaji sana mahindi ya Tanzania ila viongozi wao wanaokula burger na mikuku wanayazuia
mkuu,, mahindi ni mahindi,, haijalishi yametoka nchi gani.
yakishaingia viwandani na kutengenezwa end products, huwa yanapigwa chapa nzuri na kumeremeta kuonesha kua ni product/ produce ya Kenya.
ukiandika kua yametoka nchi nyengine mbali na Kenya,, Wakenya kamwe hawanunui.
 
Kenya Vice President William Ruto is behind the ban of Maize imports from Tanzania and Uganda.

Last week, Kenya authorities issued a letter banning the importation of Maize from Tanzania and Uganda due to high aflatoxin contamination

The online letter which was against East African Treaty and World Trade Organisation's sparked fully from both Tanzania and Uganda governments.

Addressing the crowd in Kenya yesterday DP Ruto said the ban was reached after Kenya had imported many maize bags beyond financial capacity.

" we had allocated Ksh 5 billion to import 1.5 maize bags, we instead imported 3.7 bags. Our stores are full we cannot go beyond this, said DP Ruto.

DP Ruto has now said the government has allocated another Ksh1.4 billions to buy maize from Kenyan farmers.

He has added that the government will now register farmers to know their size of land and their capacity production so as to make them not produce beyond capacity.

Ruto's revelation comes at the time the Kenyan government has lifted the ban after discovering that unilateral ban was improper and bogus.
 
" we had allocated Ksh 5 billion to import 1.5 maize bags, we instead imported 3.7 bags. Our stores are full we cannot go beyond this, said DP Ruto.
Nalog off
 
Back
Top Bottom