ASHA NGEDELE
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 784
- 327
Tanzania ikizuia all imports from Kenya kutulinda raia wake tusisikie mnamlalamikia Meko na nyie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Barakoa zenye sumu🤩🤩🤩Ni kama sisi tunavyoilinda Nchi yetu kutokana na Chanjo za Covid19 na Barakoa zinazodhaniwa kuwa na sumu
Umesahau sakata la mayai toka Kenya?Tanzania ikizuia all imports from Kenya kutulinda raia wake tusisikie mnamlalamikia Meko na nyie
Nakumbuka pia walivosumbua madereva wetu mpakani.Umesahau sakata la mayai toka Kenya?
Na lini walilalamika kwa Tanzania au Uganda. hizi sio biashara unaamka asubuhi na kupanga nyanya barabara. Biashara za kimataifa zinafanyika kwa mikataba na majadiliano ya kina.Umesoma jinsi mamlaka za Kenya zinavyopima chakula kinavyoingia nchini Kenya? Unadhani wameanza kupima hivi juzi.
TBS wakigundua chakula toka Kenya kina sumu,lazima watoe tangazo huku wananchi wanaendelea kuumia na sumu?Na lini walilalamika kwa Tanzania au Uganda. hizi sio biashara unaamka asubuhi na kupanga nyanya barabara. Biashara za kimataifa zinafanyika kwa mikataba na majadiliano ya kina.
Wangeanza na kuondoa sembe yote iliyo madukani na kuwaambia watu wamwage na wasile sembe iliyotoka Tanzania au Uganda. Lakini mpaka muda huu, bado kuna sembe madukani Kenya na majumbani kwa watu iliyotokana na mahindi hayo hayo yanayosemwa yana sumu.Tbs wakigundua chakula toka Kenya kina sumu,lazima watoe tangazo huku wananchi wanaendelea kuumia na sumu?
Usiwapangie kazi.Wangeanza na kuondoa sembe yote iliyo madukani na kuwaambia watu wamwage na wasile sembe iliyotoka Tanzania au Uganda. Lakini mpaka muda huu, bado kuna sembe madukani Kenya na majumbani kwa watu iliyotokana na mahindi hayo hayo yanayosemwa yana sumu.
Tanzania inapashwa kuzuia all imports from kama itadhibitika hazikidhi viwango vyetu sio kwa kulipiza kisasi.Tanzania ikizuia all imports from Kenya kutulinda raia wake tusisikie mnamlalamikia Meko na nyie
Acha upuuzi, unga huohuo tunakula watanzania. Nenda Ocean Road kaulize kansa ipi inaongoza na kama ina uhusiano wowote na hizo sumu za unga.Tanzania inapashwa kuzuia all imports from kama itadhibitika hazikidhi viwango vyetu sio kwa kulipiza kisasi.
Kwa sasa ni Tanzania kutoka majibu ya kisayansi juu ya ubora wa mahindi yake bila kuingiza siasa kwenye afya za watu.
Upimaji wa ubora wa bidhaa zinazoingizwa nchi mbalimbali ikiwemo Kenya na Tanzania upo kitambo na ni endelevu.Wangeanza na kuondoa sembe yote iliyo madukani na kuwaambia watu wamwage na wasile sembe iliyotoka Tanzania au Uganda. Lakini mpaka muda huu, bado kuna sembe madukani Kenya na majumbani kwa watu iliyotokana na mahindi hayo hayo yanayosemwa yana sumu.
Hamia huku maana wewe huwa kila kitu kinachohusu serikali ya Tanzania ni kibaya.Mungu ibariki Jamhuri ya watu wa Kenya
Ningekujibu lakini kwa avatar yako hiyo nitaonekana na mimi ni hao hao.Acha upuuzi, unga huohuo tunakula watanzania. Nenda Ocean Road kaulize kansa ipi inaongoza na kama ina uhusiano wowote na hizo sumu za unga.